...katika pita pita zangu mtandaoni nilikikutana na post flani inaelezea jinc ya ku unlock hizi moderm za airtel..ZTE MF190
kwa ku upgrade fimware yake,lakini baada ya ku upgrade fimware sasa moderm inashindwa kuitambua line yoyote ile hata ile ya airtel,na hata dashboard yake ktk moderm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.