ulifikiri sikujui wewe wa gari jekunduuuuu ilooooo
Dah nilikuwa najiuliza vijana wanazungumziya madude gani???
Nikagundua kumbe ni kitu kinachoitwa "proxy"!!
Uzuri ni kwamba kuna Binti yangu anaye bukua chuo fulani New Delhi kule kwa Magabachori aliwahi kunifundisha haya maujanja na ndiyo nayotumiya siku zote nilizopo mjini.
Ninazo nyingi Xana ila tatizo nyingi haziwezi kufungua secure website kama yahooo na nyinginezo.
Kwavile nimegundua mwendo unaotumika humu maskani ni wa kunong'onezana basi nami naweza kusaidiya ila watakaoni PM wajue setting wao wenyewe mie natoa tarakimu tu ila kabla ya yote niwasikilize kwanza wenyeji wa umu wanasemaje?
simbamwene78 hakuna ubaya kugawa hayo maujuzi ila kumbuka kuna spy/mawakala wa mitandao ytote humu so unaweza kugawa proxy pekee tena kwa wale member wanaotoa michango yao humu jamvini.member waliojiunga juzi juzi na wasiotufaa kwajua wala mvua tupa hukoooo.
Dah nilikuwa najiuliza vijana wanazungumziya madude gani???
Nikagundua kumbe ni kitu kinachoitwa "proxy"!!
Uzuri ni kwamba kuna Binti yangu anaye bukua chuo fulani New Delhi kule kwa Magabachori aliwahi kunifundisha haya maujanja na ndiyo nayotumiya siku zote nilizopo mjini.
Ninazo nyingi Xana ila tatizo nyingi haziwezi kufungua secure website kama yahooo na nyinginezo.
Kwavile nimegundua mwendo unaotumika humu maskani ni wa kunong'onezana basi nami naweza kusaidiya ila watakaoni PM wajue setting wao wenyewe mie natoa tarakimu tu ila kabla ya yote niwasikilize kwanza wenyeji wa umu wanasemaje?
Umeona eee!! hapa tunatoa maswali tu!! utapiga homework mwenyewe.
Dah nilikuwa najiuliza vijana wanazungumziya madude gani???
Nikagundua kumbe ni kitu kinachoitwa "proxy"!!
Uzuri ni kwamba kuna Binti yangu anaye bukua chuo fulani New Delhi kule kwa Magabachori aliwahi kunifundisha haya maujanja na ndiyo nayotumiya siku zote nilizopo mjini.
Ninazo nyingi Xana ila tatizo nyingi haziwezi kufungua secure website kama yahooo na nyinginezo.
Kwavile nimegundua mwendo unaotumika humu maskani ni wa kunong'onezana basi nami naweza kusaidiya ila watakaoni PM wajue setting wao wenyewe mie natoa tarakimu tu ila kabla ya yote niwasikilize kwanza wenyeji wa umu wanasemaje?
Join Date : 3rd August 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received:0
Likes Given:0
Join Date : 2nd June 2012
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received:0
Likes Given:1
HERI MIMI SIJASEMA!
NYIE VILAZA WENZANGU MTABAKI KUSUGUA BENCHI COZ SIDHANI KAMA MTAAMINIKA KUPEWA HAYO MADUDE NA SAMRICH1 (MTOA MADA)
Maujanja ni kwaajili ya wajanja tu so kama wewe siyo mjanja huwezi kupewa maujanja!!achen roho izo wadau spread maujanja bn