...katika pita pita zangu mtandaoni nilikikutana na post flani inaelezea jinc ya ku unlock hizi moderm za airtel..ZTE MF190
kwa ku upgrade fimware yake,lakini baada ya ku upgrade fimware sasa moderm inashindwa kuitambua line yoyote ile hata ile ya airtel,na hata dashboard yake ktk moderm imepotea!yoyote anayeweza kunisaidia nika upgrade kwenda ktk fimware nyingine itakayo support line zote!msaada plzz
kwa ku upgrade fimware yake,lakini baada ya ku upgrade fimware sasa moderm inashindwa kuitambua line yoyote ile hata ile ya airtel,na hata dashboard yake ktk moderm imepotea!yoyote anayeweza kunisaidia nika upgrade kwenda ktk fimware nyingine itakayo support line zote!msaada plzz