Recent content by taylor9119

  1. taylor9119

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Kumbe ndo maana, Mhasibu umezidiwa IQ na Lucas Mwashambwa. Mhasibu empty set
  2. taylor9119

    FT: Azam FC 2-1 Dar kenema (Agg. 3-3) Pnt (3-4), CAFCC, Chamazi complex, 25.08.2023, Azam waaga mashindano

    Dah nishakua mchawi, Kila nikiona Huzuni wa Feisal, Moyo wassuuzika.
  3. taylor9119

    Utumishi Ajira Portal Mjitafakari Hovyo sana.

    Hasara ya vitu vya bure hii, kaombe kazi Urusi.
  4. taylor9119

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hakuna kukata tamaa mpaka 45 years old age na 0days ifike.
  5. taylor9119

    Gharama mpya za kuagiza magari

    Mmekaa kitaalamu.
  6. taylor9119

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Duh nianze kucheki na PO BOX pia, maana nimecheki CRDB mpaka nimechoka
  7. taylor9119

    Kwanini Watumishi wa Serikali hupokea mshahara tarehe tofauti tofauti?

    Hili balaa mpaka tarehe 25, salary haijasoma ila nasikia askari, walimu na afya bila kusahau wastaafu teyari daaaahhhh
  8. taylor9119

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Story za kujishaua hizi…hapa ni data, facts na opinions kisela..sio sijui connection mara akaunti ya kaka?
Back
Top Bottom