Recent content by Tayeb

  1. Tayeb

    Kuhusu mtoto haramu

    Mlitaka msipewe elimu ya suali mlilouliza? Teh teh teh! Tulieni dawa iingie, angaikeni na maandiko hayo mlopewa na Dr kahtaan
  2. Tayeb

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    funguo, Wewe ni mgeni katika mijadala kama hii! Hakuna hasiyejua uozo na uharo wa Ndalichako! Aliondoka kwenye nafasi yake kwa kashfa ya kuwafelisha waislam, na sababu alizozitoa ni pumba kabisa! Eti computer ndio zilikosea na kufanya ndivyo sivyo! Kwa faida yako na wengine ni kwamba...
  3. Tayeb

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Mwiba utokea ulipoingia! Hakuna njia nyengine kijana! Labda kama mods ni makasisi, wataufunga huu mjadala! Mjifunze kuvumilia na kusoma hata yale msiyoyapenda, UKWELI mchungu lakini lazima usemwe!
  4. Tayeb

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Kisu kimegusa mfupa? Teh teh teh! Mada itafungwa endapo kama JF ni kigango cha kanisa! Kinyume na hapo tulia dawa iingie!
  5. Tayeb

    Kwanini sikubaliani na alichokisema Rais Magufuli kuhusu Jumuia ya Madola

    Ukipata fursa somea hata "mahusiano ya kimataifa" uongeze ufahamu wa hayo majambo! Kwa hilo bandiko lako umeonesha udhaifu mkubwa mno wa umuhimu wa hizi jumuiya! Labda useme unataka Tanzania iwe kisiwa, hapo nitakufahamu "poti"
  6. Tayeb

    Ufaransa wanaua watu Syria Dunia imekaa kimya

    Inaonekana wewe ni mgeni na majambo haya! Kuna wakina John huko Africa ya magharibi wanaitwa Aunt Baraka, kazi yao ni kuuwa! Hilo ni kundi la kigaidi hapa hapa Africa! Hata huko Ulaya yapo!
  7. Tayeb

    Ufaransa wanaua watu Syria Dunia imekaa kimya

    We binti gimanini, Wewe inaonekana unatumia ubongo wa kuku kufikiri, au unatumia "masaburi" Teh teh teh! Hivi wale magaidi wa Ireland waliokua wakiua Wazungu wenzao walikua Waislam?, na wale Shangazi Baraka nao ni Waislam? Hao wote ni Wakristo na magaidi wauwaji wakubwa! Uenda HABARI hizi...
  8. Tayeb

    Jackton Manyerere unadhalilisha tasnia ya habari

    Manyerere Jackton, Ni kweli watu humu tunataka kusikia habari za "ubuge" mkienda kucover story! Kubishana na watu kuhusu namna gani pesa za walipa kodi walala hoi zinavyoteketea sio STORY, huko kunataka "moyo" na akili ya "mwendawazimu" Moderator Invisible na Paw futeni na hii comment kama...
  9. Tayeb

    Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

    Moderator Invisible Paw Wacheni "undumila kwili" hoja ujibiwa kwa HOJA!
  10. Tayeb

    Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

    Manyerere Jackton, Bado heshima yako imeshuka Mura! Kwakua mawazo yako yameganda kwenye "ubuge" tu! Mh. Rais alivaa vazi la Taifa? Au kitu chochote made in Tanzania? Chukua HOJA nzito zitakazokujengea HESHIMA kwa faida ya walipa kodi walala hoi! Vinginevyo unaonekana ni kundi lile lile la...
  11. Tayeb

    Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

    Manyerere Jackton, Hivi kweli shida za Watanzania ni kusikia mlichokula na kunywa huko Chamwino? Nilitegemea hoja nzito za kichunguzi toka kwako kama vile kwanini Mh. Rais JPM katumia "Toyota Hilux" Dar - Dodoma (kwa mujibu wa bandiko lako) wakati Gulf Stream iko Geneva? Je, huyo alokwenda...
  12. Tayeb

    Paris Restaurant Shootings and Blasts: at least 100 People have been killed

    Hapo ndipo ukomo wako wakufikiri ulipofikia?!! Aunt Baraka nao ni waarabu?!!
  13. Tayeb

    Zanzibar Wachoma Ubani Nchi Nzima Kumuomba Mungu Atoe Hukumu Ya Haki

    Uharo mwengine huu! Wewe utakua unatumia makalio kufikiri!
  14. Tayeb

    Zanzibar Wachoma Ubani Nchi Nzima Kumuomba Mungu Atoe Hukumu Ya Haki

    Inaonekana hilo jambo limekushtua mno! Leo mtu anaeonesha kudhulumiwa HAKI yake unamuhita muhuni?!! Mko wengi sana hapa JF watu wenyewe chuki na Wazanzibar tena hasa uislam! Kule kwenye UZI wa Professor Assad nilishakuonya baada ya kuonesha chuki zako za wazi zidi ya uislam wake! Nakuonya...
Back
Top Bottom