Huu uzi ulinipa suspension nilihisiwa mimi ndio nimeuleta humu kipindi hiyo nilikuwa form four nilifahamika kama kijana machachari sana kwenye masuala ya Tehama na mtukutu shuleni
Tonatofautiana sana mimi kitu pekee nilichonacho ni kidumu cha litres tano tu cha kuwekea petrol,sina spaner yeyote wala spare ya namna yeyote na zaidi ya mwaka sasa sijawahi kupatwa na tatizo lolote ingawa ni hatari sana hii hali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.