Recent content by Tavarishi

  1. Tavarishi

    4X4=18, Taarifa ya habari ITv

    Mmh kwani jamani 4x4 sio 18? Au na mimi sijui hesabu? MAGAZIJUTO!
  2. Tavarishi

    Picha: Rais Kikwete akagua ujenzi wa Daraja Mto Malagarasi... Kikwete Bridge!

    Haya ni mafanikio, tukubali even though yamechelewa!
  3. Tavarishi

    Msaada sticker ya fire

    Kumbaku:- Huo ndio utaratibu, nadhani ukishajua utaratibu then kinyume cha hapo utajua unatapeliwa,,,,,,,,itakuwa ni juu yako kukomaa usilipe hicho cha juu au uwalipe upewe sticker,,,,,,,binafsi sijawahi kulipa tofauti na inavyotakiwa
  4. Tavarishi

    Msaada sticker ya fire

    Ni kweli sasa hivi sticker ya fire inalipiwa TRA ikiunganishwa pamoja na Motor vehicle licence LAKINI baada ya hapo hakuna malipo mengine.......unaenda ofisi za Fire na hiyo receipt ya malipo na mtungi wako wa gas, wanatakiwa waukague na kama hauna kasoro wanatakiwa wakuandikie sticker,period.
  5. Tavarishi

    Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

    Bila kutaja majina hii habari ni kilema (Bubu)!
  6. Tavarishi

    Denti akimwaga voko

    ............................. wapya na nitakuliwaza kama mashairi ya Wasakatonge,napenda tuwe kama Kiima na Kiarifu,au fani na maudhui,penzi letu lidumu kama Fasihi Andishi,Vp upo tayari tufanye unyambulishaji na Uambishaji? Jamani nakupenda kama kumbikumbi wanavyopendana...... Imetulia......
  7. Tavarishi

    Mkurugenzi Mbeya: Wafanyabiashara wanatumika tu!

    Timbilimu,huo ndio utaratibu wa uendeshaji wa Halmashauri
  8. Tavarishi

    Mkurugenzi Mbeya: Wafanyabiashara wanatumika tu!

    Hata ulichoandika ukadai kimefanyika kwenye halmashauri sicho,,,Mkurugenzi hana mamlaka ya kufanya yalofanyika bila kibali cha baraza la halmashauri,maamuzi ya wajumbe wengi (madiwani) ndio yatakayotekelezwa na Mkurugenzi,haamui mwenyewe.
  9. Tavarishi

    Mkurugenzi Mbeya: Wafanyabiashara wanatumika tu!

    Kibunango nakuunga mkono......Maamuzi ya halmashauri (Madiwani) yanatekekezwa na mkurugenzi.....tuache blah blah
  10. Tavarishi

    Hii ni HATARI kwa CHADEMA!

    Hodi hodi humu jamvini
Back
Top Bottom