naona unapenda sana kutoa ushauri na usikilizwe,naomba ukamshauri gamba J50 na vikaragosi vyakeNimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.
Ngoja nami nijaribu kuorodhesha mapungufu ya CHADEMA yetu:
-Mtandao hafifu wa kichama.
-Mashabiki wengi kuliko wanachama ambao hata kadi za kupiga kura hawana.
-Wanachama wenye jazba, hasira na munkar kupita kiasi. Hijab ya yule DC Fatma imewagharimu kura nyingi tu.
-Mawakala wa kukodi wa nini? Kura zinapigwa na wanaIgunga. CHADEMA haiwaamini hawa.
-Hawakuwaambia wanaIgunga kilichosababisha uchaguzi ule mdogo kuwa ni CCM na magamba yake.
-CHADEMA na Viongozi wake kung'ang'ania agenda zilezile kila mahala.
-CHADEMA haijajitofautisha na CCM kwa mambo mengi tu.
Kwa kweli mimi namuunga mkono Lu-ma-ga kuwa CCM wametunyanyasa vya kutosha, inabidi waachie ngazi wapishe wengine watuongoze, ukiangalia mafisadi, wa mali za watanzania wote wametokea CCM, hivi watatunyonya hivi hadi lini? Hata hayati baba wa Taifa leo angepata fursa ya kuamka kutoka mautini na kuiona Tanzania nahisi angetokwa na machozi. Viongozi hawatujali sisi watanzania, wanajali maslahi yao na familia zao. Tutakuwa WADANGANYIKA mpaka lini? :sleepy:
Hatuhitaji kukurekebisha sana ni kukujulisha kwamba, tumenyanyaswa kwa muda mrefu na CCM , tumedhalilishwa sana na CCM, tumeibiwa sana na CCM, tumefungwa sana na CCM na sasa tumepata mkombozi wa kutpeleka nchi ya ahadi TANGANYIKA.
CDM ndiyo musa wetu wa kuttoa Misri na kutupeleka Nchi ya ahadi yenye Madini na ardhi yenye rutuba , nchi yenye mbuga za wanyama wa kila aina na nchi ya watu wakalimu.
Ngoja nami nijaribu kuorodhesha mapungufu ya CHADEMA yetu:
-Mtandao hafifu wa kichama.
-Mashabiki wengi kuliko wanachama ambao hata kadi za kupiga kura hawana.
-Wanachama wenye jazba, hasira na munkar kupita kiasi. Hijab ya yule DC Fatma imewagharimu kura nyingi tu.
-Mawakala wa kukodi wa nini? Kura zinapigwa na wanaIgunga. CHADEMA haiwaamini hawa.
-Hawakuwaambia wanaIgunga kilichosababisha uchaguzi ule mdogo kuwa ni CCM na magamba yake.
-CHADEMA na Viongozi wake kung'ang'ania agenda zilezile kila mahala.
-CHADEMA haijajitofautisha na CCM kwa mambo mengi tu.
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.
Kabla sija kujibu hebu naomba unifafanulia hapo juu....mfano angenda zilizo tumika huko Igunga ambazo ni za kila siku ni zipi na hatujajitofautisha na CCM kwa lipi.....-CHADEMA na Viongozi wake kung'ang'ania agenda zilezile kila mahala.
-CHADEMA haijajitofautisha na CCM kwa mambo mengi tu.
0Kamanda unaposema yule ni mnene lazima unalinganisha na mwingine...hivyo unaposema chadema wasafi unalinganisha na chama gani hivyo ulie m-quote anaweza kuwa sahihi 100% mfano kama atakuwa analinganisha na CCM, CUF, UDP..................nkunaposema hauwezi kosoa palipo safi unamaanisha chadema nh wasafi?
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.
tu sidanganyane kuwa CDM ndo makini. Wana mapungufu makubwa tofauti na CCM hawana.tofauti ni ndogo tu kuwa CDM hawajashika dola. Lakini mambo yanayo fanywa CDM NA CCM ni sawasawa .afadhali ccm mambo yao hufanywa wazi. Lakini baba CDM ni hatari tena kuna hatari ya kuwepo vita mbele kama kuna mashabiki walodata. Sasa tukumbuke kina kafulila waliondolewa na mbowe na slaa walipojifungia chumbani. Kafulila alishinda nafasi ktk baraza la vijana ndo hadi leo Zitto haaminiki ndani ya CDM anatumika tu kama nguzo ya kushikiza lakini anatafutiwa dawa ili nguzo hiyo ikiondoka isilete madhara. Kuna mengi tu . Pale zitto alipochukua form ya wenyekiti akazuiwa na wazee wa chama akina mtei,makani, nakauli ya mtei ni hii( hatuwezi kukubali kuuza chama kwa mtu tu) maana hiyo siyo rahisi kumng'oa mbowe huyu ni dikteta. Tofauti na CCM hata na CUF. Kwa Cuf tuliona wazi kabisa prof Safari v/s prof Lipumba. Wakaingia ringini. Mpambano ukaanza hatimae safari alishindwa. Hii ndo demokrasia. Kilicho muuma safari alidhihakiwa na wana chama kutokana na kutojijenga sana ktk chama. Tuone Mbowe v/s nani,? Kama sikuminya demokrasia ndani ya chama ndipo walipomzua zitto asiingie kabisa kwenye ringi na mbowe alitangazwa bingwa bila ya kuwa na mpinzani. So hawa hata wakipewa madaraka ndo wataibana demokrasia. Mungu saidia wasije chukua nchi hawa CDM. Maana itakuwa balaaa we chaguzi wakinamama vurugu na vijana nivurgu hivi tutapona chademaa vitaa
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.