Unatokea mkoa gani?, je huko unaweza pata aridhi Kwa kilimo na ufuhaji?,
Kama maswali yote,jibu ni ndio, fanya haraka urudi,huu n msimu wa kilimo,lima lima mazao ya chakula,biashara,fuga pia,ikiwezekana.
Baada ya miezi kadhaa,utakua na hela ya kuanxia kama mtaji.