uwepo
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 600
- 743
Hajalogwa bro ni mahaba tu kashikwa pazuriSo keshapigwa kipapai au karishwa nyama ya kwenye K
Hajalogwa bro ni mahaba tu kashikwa pazuriSo keshapigwa kipapai au karishwa nyama ya kwenye K
Mkoa gan huo mkuu?Kunamkoa fulan ukioa huko ujue nyumban kwenu ndo umeaga maana hutakumbuka km umetokea kimalampamba
Hilo najua lipo ndio mana nikasema mtu akioa automatic majukumu huongezeka hivyo atafocus katika familia yake kuliko ndugu.Huwajui ndugu wewe, yani watever utakachofanya its a fact mume atapunguza misaada ya kwao kabla hajaoa, hiyo ni natural koz ameoa na majukum yameongezeka. So hata kama unasema utamshauri thats theoretical na ndio utaona ndugu kama mtoa mada wakianzisha nyuzi kama hizi.
Wala sio mizinga coz home wako vizuri. Na uchumi mzur tu. ni ile anajitenga sana kuliko kawaida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kijana mizinga kibongobongo haishi bro anaogopa cm ya home coz aliwazoesha kugawa minoti sahv waziri wa Mambo ya ndani amemkaba bro mpk akiona cm ya home anajua n mzinga
HujanielewaHakuna uwiano familia yenu mtayoianzisha comes first. Ni ujinga kuwaza atoe sawa kwenye familia yenu na kwa ndugu zake, hao ndugu nao wajitafutie. Haya mawazo ya kulea watu wazima sijui mnayatoa wapi. Smdh
Nadhani wengine hapa tunazungumzia wazazi zaidi.Mleta mada na ndugu zako Man up mjitegemee. Kaka yenu hata Kama sio familia yake hapaswi kuendelea kuwalisha nyie watu wazima na ndevu zenu, na wewe mwanaume bila hata aibu unakuja kulialia basically unalalamika umeachwa kulishwa bure wakati unaweza jitafutia. Miafrika sijui mnakaliaga akili, mnapendwa kulelewa si wanaume si wanawake. Smh
Hunyu,umeongea kweli kabisa.Nilichojifunza:
wanawake mara nyingi huwa wanatuzidi akili sana hasa tunapoanza mahusiano, na hii inasababishwa na kwamba wanaume wengi huanza mahusiano baada ya kuanza kuona mwanga wa mafanikio na hapo labda kamaliza form six na matokeo yako poa anauhakika wa kwenda chuo au kamaliza chuo kikuu kwahiyo kwenye suala la mahusiano anakuwa mbumbumbu kabisa.
Wanawake wanaanza mahusiano toka wakiwa la tatu. Atabadilisha wanaume hadi ile sehemu inaanza kutoa moshi lakini yumo tu. Hadi anakuja kufikia umri wa kuolewa, ashasoma saikolojia ya wanaume na anaijua vizuri na akishakuona tu anajua jinsi ya kukuhandle ili uwe unakabidhi mshahara wote kwake. Utadhani unapendwa saaaana kumbe mwenzio anatafta wa kumuuzia vimeo vyake vya kugongwa hovyo miaka mingi na ale pesa zako kiulaini bila jasho.
Ukimuoa tu na ukaanza kukaa nae, ndio utakuja kuanza kugundua kuwa kuna vitu vidogo vidogo haukuvitilia maanani na vimekuwa vyakweli kabisa na vinacost mahusiano yako, unabaki unagugumia tu kuwa ningejua nisingefanya haraka kuoa.
Same applied to financial issues na kukucontrol, akili ile ile kubwa ndio inayotumiwa na wanawake. Wanaume kutokana na umbumbu wetu katika suala zima la mahusiani huwa tunajikuta tunakabidhi mshahara wote kwa mwanamke kwa mwanvuli wa kuonyesha mapenzi ya kweli kumbe mwenzio ashakulia target zamaaaaani.
Wanawake acheni dhambi!!