Adi siku itokee watanzania wote tuhame kwa muda wa mwaka 1 alafu waje mabeberu hapa for just a year,tukija kurudishwa nchini kwetu tutapoteana mana hutajua buza wapi,bunju wapi,masaki wapi yani maji safi kila sehemu,hospitali hujui ipi private ipi public zote nzuri,shule sasa yani kuanzia social...
Inaonyesha jinsi gani mo hajapata mke
Asubiri tu matukio,mwanamke mwenye akili timamu hawezi kwenda kwa baby mama wa mumewe eti akafanye alichofanya huyu kisa tu eti kawatukana!
Aibu kwa hao walomwajiri huyu jamaa,
Watu wanapenda kuchukulia vitu very serious wakati vingine unapaswa kuchukulia kama comedy tu ucheke uongeze siku zako za kuishi
Kama ni kwasababu ya zumaridi hapo TCRA mmefeli pakubwa,
Hakuna mwenye akili timamu atakua bothered na story za zumaridi mana unajua tu anatafuta popularity and after...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.