Tukizungumzia hija ya mwaka jana,tatizo lilikuwa ni mahujaji kugombea njia moja ,kulikuwa na baadhi ya kundi moja linarudi kutufu na lingine linaenda sasa walipo ambiwa ninyi mpite chini wale mashiha wakakataa na kuanza kusukumana hawa wanaenda na hawa wanarudi,ila zaidi ya yote ahadi nayo...
Mimi siamini hilo ingekuwa hivyo ,basi ajali zingekuwa hazitokei kw 7bu inapotokea ajali wapo wanao pona na wanaokufa,sasa kw maana hiyo ilibidi ajali zisiwepo mpaka wabaki wale wanaotakiwa kufa tu wasichanganyike na wengine
Aaa mimi nawaomba wana jf msiwe mnachanganya lugha,tunaenda vizuri kwenye mada zenu mbele mnatuchanganya,hata muda mwingine alifabeti zinakosewa yote hayo ya nini?km ni kiswahili iwe hivyo na km kiarabu iwe hivyo n,k.mmenielewa lakini nyie wazungu pori
Yaani umenifurahisha sana ndg ,ttz la wtz ni kujizarau tu na kuona wenzetu ni bora sana,naona kw picha hizo hapo atajielewa km hao nao ni wabongo au ,mimi naomba mkituletea mada yoyote ile muwe mmeifanyia uchunguzi yakinifu je kw wenzetu mambo hayo yapo au laa sio unaleta jambo kiushabiki...
Umenena vyema kabisa,kuna hawa us ,utasikia wanasema tulijua mapema kuwa sehemu furani itashambuliwa,sasa km hivyo ndivyo kw nn wasizuie,ni kweli wazungu si watu wazuri kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.