IRAN yaiwekea vikwazo Marekani

IRAN yaiwekea vikwazo Marekani

Ni Kama Pakistan wana ndege za Marekani ila hawawezi zirusha bila ruhusa ya Marekani
 
Tatizo hizo silaha operators ni wamarekani, ndiyo maana South Korea yeye kagoma kulipia hizo THAAD anasema hawezi kulipia kitu ambacho operators ni foreigners. Ndiyo maana Israel ameridhia Saud Arabia apewe silaha hizo. Na waarabu wale walivyowajinga hizo silaha zitaenda kuteketezwa Yemen baada ya Operators kuzitelekeza na hao waarabu wajinga wataagiza nyingine.
Mkuu una uhakika km operators wote ni wamerekani?! Kwanza ishu ya THAAD(korea)na hii ya Saudia ni vtu viwili tofaut. THAAD kuwekwa pale ilikua ni uamuzi wa Marekani yenyewe na sio kwamba Skorea walikua wamenunua huo mfumo.Trump alitaka Skorea walipie THAAD kwa inavyokaa pale Korea kwa kua inawalinda wakorea dhid ya Nkorea.
Ila Saudia kanunua silaha hivyo anazimiliki km hao foreigners watakuwepo labda wa kuwaelekeza jins ya kutumia hyo mifumo ili baadae waweze kuitumia wenyewe, unataka kunambia leo mchina akinunua S400 operators wote watakua warusi?!

Hlf ni wap Israel ameridhia ununuz wa hzo silaha wakt inamtaka Donald Trump atoe maelezo ya kutosha kuhusu uuzaj huo wa silaha nzto.
354f105419ac6d6790eb70e242da0142.jpg
 
Marekani asije akashusha bei ya mafuta kwa makusudi tu....
 
Daah lakini Mahmoud Alavi sio wa mchezo wanamjua sana wale warefu
 
Habari kutoka tovitu ya wizara ya mambo ya nje ya Irani, zinaonyesha kuwa Iran imeiwekea vikwazo Marekani. Vikwazo hivyo vitaiathiri Marekani katika utekelezaji wake wa shughuli za kijasusi. Kwa habari zaidi fuatilia link hapa chini.
====
Iran releases list of banned US real, legal entities
Foreign Ministry released list of newly-banned real and legal entities in response to the US illegal move in adding a number of Iranian individuals and firms to the list of missile sanctions.
==Ministry of Foreign Affairs Islamic Republic of IRAN - News > Iran releases list of banned US real, legal entities
Brother's and sister's of Mr Bean pls stop
 
I can imagine how shockly you are! The world is revolving. Once upon a time, there was the powerful roman empire....the story goes on!
Brother's and sister's of Mr Bean pls stop
 
====

The updated list of sanctioned American firms and individuals has been released by Foreign Ministry (of Iran) on Thursday:

1. Huntington Ingalls Industries: For participating in development of Sa’ar 5-class corvettes used by the Zionist regime in war crimes against the oppressed Palestinian people and Lebanon.

2. Booz Allen Hamilton: Security contractors affiliated with the CIA, active in the Middle East. The company is in charge of collecting data against Iranian organizations and conducting security operations against the Islamic Republic.

3. Horacio D.Rozanski: Booz Allen Hamilton CEO

4. KingFisher Systems: Founded in 2005, the company provides security services, mostly on cyberspace, to the US government and intelligence agencies. One of its operations was monitoring Iran’s naval moves.

5. Roy L. Reed, Jr: KingFisher Systems CEO

6. DynCorp International: This security company has replaced Blackwater in Yemen under a $3bn contract.

7. McAlester Army Ammunition Plant: This company provides a part of US Army’s heavy weapons arsenal, participating in America’s destructive moves against international peace, stability and security.

8. The BIRD Foundation: supports joint investment with Israeli and American companies in hi-tech industries benefiting the Zionist regime.

9. The BSF Foundation: A joint science foundation that has helped promote cooperation in science and technology between Israeli and American companies.

10. BENI Tal

11. RAYTHEON

12. ITT Corporation

13. Re/Max Real Estate
14. Oshkosh Corporation

15. Magnum Research Inc

16. Kahr Arms

17. M7 Aerospace

18. Military Armament Corporation

19. Lewis Machine and Tool Company

20. Daniel Defense

21. Bushmaster Firearms International

22. O.F. Mossberg & Sons

23. H-S Precision, Inc.

Items 10-23 had been included in the sanctions list attached to a statement issued on February 3, 2017.


Kwa haya yote Mmarekani hawezi kukwazika hata kidogo kweli!, when it comes to espionage.
Wafanyakazi Wamarekani wa haya makampuni yote huko ndani pengine kuna makachero.
 
Tatizo ni kuwa kwa sasa Ukikamatwa huko ni kitanzi hakuna tena diplomatic impunity. List ya ambao hhawatakiwi iko wazi.
Kwa haya yote Mmarekani hawezi kukwazika hata kidogo kweli!, when it comes to espionage.
Wafanyakazi Wamarekani wa haya makampuni yote huko ndani pengine kuna makachero.
 
Ilikuwa inazungumzwa tu utekelezaji ulikuwa bado. Ndiyo wameanza sasa
Ili
Subiri uone km kuna kitu ambacho kitabadilika unadhan Marekani alikua hajui km siku hii itafika?!. Cha kuangusha Us dollar kwa sasa ni labda waue huu mfumo wa Petrodollar.
 
Back
Top Bottom