Mkuu una uhakika km operators wote ni wamerekani?! Kwanza ishu ya THAAD(korea)na hii ya Saudia ni vtu viwili tofaut. THAAD kuwekwa pale ilikua ni uamuzi wa Marekani yenyewe na sio kwamba Skorea walikua wamenunua huo mfumo.Trump alitaka Skorea walipie THAAD kwa inavyokaa pale Korea kwa kua inawalinda wakorea dhid ya Nkorea.Tatizo hizo silaha operators ni wamarekani, ndiyo maana South Korea yeye kagoma kulipia hizo THAAD anasema hawezi kulipia kitu ambacho operators ni foreigners. Ndiyo maana Israel ameridhia Saud Arabia apewe silaha hizo. Na waarabu wale walivyowajinga hizo silaha zitaenda kuteketezwa Yemen baada ya Operators kuzitelekeza na hao waarabu wajinga wataagiza nyingine.
Kolomije yaiwekea vikwazo daslamTanzania yaiwekea vikwazo Japan
Ikitokea hivyo babu ujue hata kule kwetu gwata ujue kutakuwa na foreni brbrnTanzania yaiwekea vikwazo Japan
Brother's and sister's of Mr Bean pls stopHabari kutoka tovitu ya wizara ya mambo ya nje ya Irani, zinaonyesha kuwa Iran imeiwekea vikwazo Marekani. Vikwazo hivyo vitaiathiri Marekani katika utekelezaji wake wa shughuli za kijasusi. Kwa habari zaidi fuatilia link hapa chini.
====
Iran releases list of banned US real, legal entities
Foreign Ministry released list of newly-banned real and legal entities in response to the US illegal move in adding a number of Iranian individuals and firms to the list of missile sanctions.
==Ministry of Foreign Affairs Islamic Republic of IRAN - News > Iran releases list of banned US real, legal entities
Brother's and sister's of Mr Bean pls stop
====
The updated list of sanctioned American firms and individuals has been released by Foreign Ministry (of Iran) on Thursday:
1. Huntington Ingalls Industries: For participating in development of Sa’ar 5-class corvettes used by the Zionist regime in war crimes against the oppressed Palestinian people and Lebanon.
2. Booz Allen Hamilton: Security contractors affiliated with the CIA, active in the Middle East. The company is in charge of collecting data against Iranian organizations and conducting security operations against the Islamic Republic.
3. Horacio D.Rozanski: Booz Allen Hamilton CEO
4. KingFisher Systems: Founded in 2005, the company provides security services, mostly on cyberspace, to the US government and intelligence agencies. One of its operations was monitoring Iran’s naval moves.
5. Roy L. Reed, Jr: KingFisher Systems CEO
6. DynCorp International: This security company has replaced Blackwater in Yemen under a $3bn contract.
7. McAlester Army Ammunition Plant: This company provides a part of US Army’s heavy weapons arsenal, participating in America’s destructive moves against international peace, stability and security.
8. The BIRD Foundation: supports joint investment with Israeli and American companies in hi-tech industries benefiting the Zionist regime.
9. The BSF Foundation: A joint science foundation that has helped promote cooperation in science and technology between Israeli and American companies.
10. BENI Tal
11. RAYTHEON
12. ITT Corporation
13. Re/Max Real Estate
14. Oshkosh Corporation
15. Magnum Research Inc
16. Kahr Arms
17. M7 Aerospace
18. Military Armament Corporation
19. Lewis Machine and Tool Company
20. Daniel Defense
21. Bushmaster Firearms International
22. O.F. Mossberg & Sons
23. H-S Precision, Inc.
Items 10-23 had been included in the sanctions list attached to a statement issued on February 3, 2017.
Kwa haya yote Mmarekani hawezi kukwazika hata kidogo kweli!, when it comes to espionage.
Wafanyakazi Wamarekani wa haya makampuni yote huko ndani pengine kuna makachero.
Hii ishu mbona ya mdaaaIran yaanza kuachana na matumizi ya dola ya kimarekani
Russia & Iran sign oil-for-goods trade agreement
IliHii ishu mbona ya mdaaa
Subiri uone km kuna kitu ambacho kitabadilika unadhan Marekani alikua hajui km siku hii itafika?!. Cha kuangusha Us dollar kwa sasa ni labda waue huu mfumo wa Petrodollar.Ilikuwa inazungumzwa tu utekelezaji ulikuwa bado. Ndiyo wameanza sasa
Ili