Wewe kweli hujaelewa kitu bado sisi na saudia hatutofautiani hata sekunde kimasaa wao nisaa Kumi na moja na dakika 57 kwa sasa alfajiri na sisi ni hivyo hivyo
Mimi nakuhakikishia hutopita mpaka uwaone wenye Chama Chao usisikilize maneno ya motivational speaker ukajitia moyo mwisho wa siku utajitia kitanzi solution ni mbili tu either uwaone wenye Chama Chao uzuzngumze nao vizuri Au andaa pesa ya kutosha CCM ni Chama cha wala rushwa
Mambo ya...
Huyu ana downs syndrome kila siku hua tunasema humu huyu jamaa ana downs syndrome ni mgonjwa lakini CCM ndio hua wanapenda watu kama hawa hauihitaji kua na Akili ya kutatua matatizo ukiwa CCM
Huyo jamaa anaitwa khalifa said na wasiwasi watakuja kumteka Hua ana channel yake YouTube anazungumzia vitu vya msingi sana wasiwasi wangu watamfungia very soon tcra
Jumapili nenda kanisani ujifanye bubu safari hii uombewe na mwamposa uongee upewe 10000 yako ulale mbele hizo si ndio ajira CCM wanazopenda kusikia mnazifanya
Unalalamika hivyo na bado ujajaribu kutumia fiber Yao yaani ndio utatamani ukachome moto ofisi zao mie nilichukua fiber Yao mwezi mmoja tu nikawapiga chini Nina router Yao ipo hapa nataka niifungue mtoto achezee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.