Recent content by Tareq20

  1. Tareq20

    Zungu aongoza kikao cha Tume ya Utumishi wa Bunge

    Daaaaah basi tu
  2. Tareq20

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Je unaweza kureport maudhui ya kuudhi kama yale anayoyaandika Lucas mwashambwa
  3. Tareq20

    Waliotuletea dini wote wanakula sikukuu kesho ila sasa nchi yangu 🥲

    Wewe kweli hujaelewa kitu bado sisi na saudia hatutofautiani hata sekunde kimasaa wao nisaa Kumi na moja na dakika 57 kwa sasa alfajiri na sisi ni hivyo hivyo
  4. Tareq20

    Mwanahabari Manyerere Jackton akiri kwa mchakato wa maoni CCM uligubikwa na rushwa

    Mimi nakuhakikishia hutopita mpaka uwaone wenye Chama Chao usisikilize maneno ya motivational speaker ukajitia moyo mwisho wa siku utajitia kitanzi solution ni mbili tu either uwaone wenye Chama Chao uzuzngumze nao vizuri Au andaa pesa ya kutosha CCM ni Chama cha wala rushwa Mambo ya...
  5. Tareq20

    Boti iliyozama Kigoma na Watumishi wa afya, Kwanini haikuwa na life jackets?

    Hii taarifa huwezi isikia ikipewa airtime kwasababu utaambiwa inaleta uchochezi
  6. Tareq20

    Pata bure mfumo wa bulk SMS, API na msg za trial.

    Vipi WhatsApp naweza pata the same services Kama WhatsApp broadcast
  7. Tareq20

    TANZIA Diwani Wa CCM Kata Ya Mzimuni Manispaa Ya Kinondoni Afariki Dunia

    Daaah tukupe nini Baba kwa hizi furaha unazotupa
  8. Tareq20

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Huyu ana downs syndrome kila siku hua tunasema humu huyu jamaa ana downs syndrome ni mgonjwa lakini CCM ndio hua wanapenda watu kama hawa hauihitaji kua na Akili ya kutatua matatizo ukiwa CCM
  9. Tareq20

    Rais Samia ashiriki futari na watoto yatima na makundi mbalimbali jijini Arusha

    Samia anaweza kula nao futari akawanunulia nguo akawasaidia kumbe anasubiri wakue awaue
  10. Tareq20

    Yesu ashawai kuishi Afrika

    Tena aliishi njombe
  11. Tareq20

    Gari analotumia "Makonda" lazua mjadala mitandaoni

    Huyo jamaa anaitwa khalifa said na wasiwasi watakuja kumteka Hua ana channel yake YouTube anazungumzia vitu vya msingi sana wasiwasi wangu watamfungia very soon tcra
  12. Tareq20

    Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

    Jumapili nenda kanisani ujifanye bubu safari hii uombewe na mwamposa uongee upewe 10000 yako ulale mbele hizo si ndio ajira CCM wanazopenda kusikia mnazifanya
  13. Tareq20

    Viongozi wa TTCL wanapaswa kuwa jela na sio ofisini

    Unalalamika hivyo na bado ujajaribu kutumia fiber Yao yaani ndio utatamani ukachome moto ofisi zao mie nilichukua fiber Yao mwezi mmoja tu nikawapiga chini Nina router Yao ipo hapa nataka niifungue mtoto achezee
  14. Tareq20

    TANZIA Munde Tambwe, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CCM) afariki dunia

    Woyoooooooooooooo ngoja niagize sambusa hapa
Back
Top Bottom