Mbona umaarufu wake umeongezeka toka Oct/29 hukuona January alipewa tuzo
Kama huamini nenda google andika
The "tyranty president of the year 2025" Rais katili zaidi
wa mwaka 2025 usipopata Jina lake mje hapa na mikwaju
Rio Ferdinand anatuhumiwa anatumika kufanya sportswashing kusafisha na kuyafanya mauaji ya Oct/29 kua halali kwa kupitia michezo naona mijadala imeanza huko times pia wamepost
Reddit watu wanadisciss unajua zile Zama za kuficha ficha mambo zimeisha watu wengi tunaelewa vitu vinavyoenda
Nahisi Rio Ferdinand Kila akichungulia page yake ya Instagram comment zile zinazidi kumchanganya anaona duuh mbona kama nimeyakanyaga unadhani furaha itatoka wapi
Mchezaji mwenyewe Ni kama erasto nyoni wa ulaya vijana wengi wa gen Z hata hawamjui
Roughly bei ya ventilator google wanasema Ina range $25000 mpaka $50,000 tena hapo kwenye high demand tufanye ventilator moja Ni million 200
Hivi hata million 200 kununua ventilators 100 hio ni billion 20 kweli hata hizo hela ni kusubiri wafadhili kutoka marekani
Pesa ngapi zinahondomolewa...
Inauma Sana kuona kijana at 26 anafariki akiwa hajahudumiwa siku mbili nzima toka afikishwe hospital Kila siku anaambiwa subir daktari Leo atakuja daktari kumbe mgonjwa wangu alikua ana internal bleeding inayoendelea taratibu maumivu nilionao Hua Hayaishi mpaka Leo hasa nikimuona mwanae...
Nilipata mgonjwa wa ajali 2023 ambae alikua very stable tunaongea tunacheka shida ilikua Ni mfupa tu umevunjika lakini alifariki kwasababu ya uzembe kutowajibika na ufinyu wa madaktari Temeke hospital toka siku hio Hua hata naogopa kwenda hospitali za serikali nipo radhi nitoe saving yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.