Recent content by Tareq20

  1. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Hahaha Ni kweli kabisa
  2. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Hahahahaha hatari sana
  3. Tareq20

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Yaliyotokea Oktoba 29 yametupa funzo. Vyombo vya Ulinzi na Usalama majaribio yale waliweza kuyaondoa kwa muda mfupi sana

    Polisi ukitishiwa jiwe katiba imekuruhusu ua toa bunduki ua hata watu 1000 katiba imekuruhusu Thabit kombo
  4. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Mbona umaarufu wake umeongezeka toka Oct/29 hukuona January alipewa tuzo Kama huamini nenda google andika The "tyranty president of the year 2025" Rais katili zaidi wa mwaka 2025 usipopata Jina lake mje hapa na mikwaju
  5. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Kupata Maendeleo ya Kweli, Watanzania Lazima Tubadili Mind Set Tuchagie Maendeleo, Afya na Elimu. BMH Hospital Anahitaji 7B!. Tuichangie!.

    Hahaha hizo wahuni wa CCM wanaweza wakazikwiba pia Mimi siwezi changia wewe je?
  6. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Alia kwa uchungu baada ya kuibiwa kwenye kuhiji Makkah Saudia

    Wahuni Hua Kila sehemu wapo
  7. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Gerson msigwa :Serikali haiwalipi mastaa kuja Tanzania wanakuja kutokana na ukaribu na mheshiwa waziri Makonda

    Hii serikali yetu Ina vichekesho kwahio unataka kunambia Erasto nyoni wa ulaya kaja kwa Hela yake
  8. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand anatuhumiwa anatumika kufanya sportswashing kusafisha na kuyafanya mauaji ya Oct/29 kua halali kwa kupitia michezo

    Rio Ferdinand anatuhumiwa anatumika kufanya sportswashing kusafisha na kuyafanya mauaji ya Oct/29 kua halali kwa kupitia michezo naona mijadala imeanza huko times pia wamepost Reddit watu wanadisciss unajua zile Zama za kuficha ficha mambo zimeisha watu wengi tunaelewa vitu vinavyoenda
  9. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuja Tanzania uso wa Rio Fernand hauna Tabasamu

    Kwa hio hapo mmefungua nchi tayari daah umenifurahisha sana kihongosi
  10. Tareq20

    JamiiForums Tanzania KERO Uhaba wa Ventilator: Maisha Yapo Hatarini Hospitalini, hata katika hospitali kubwa ni changamoto

    Kweli asee basi tu tunafanya subra ndio mipango ya mungu lakini kuna uzembe mkubwa sanaa wa hawa wanaojiita viongozi wetu
  11. Tareq20

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuja Tanzania uso wa Rio Fernand hauna Tabasamu

    Nahisi Rio Ferdinand Kila akichungulia page yake ya Instagram comment zile zinazidi kumchanganya anaona duuh mbona kama nimeyakanyaga unadhani furaha itatoka wapi Mchezaji mwenyewe Ni kama erasto nyoni wa ulaya vijana wengi wa gen Z hata hawamjui
  12. Tareq20

    JamiiForums Tanzania KERO Uhaba wa Ventilator: Maisha Yapo Hatarini Hospitalini, hata katika hospitali kubwa ni changamoto

    Roughly bei ya ventilator google wanasema Ina range $25000 mpaka $50,000 tena hapo kwenye high demand tufanye ventilator moja Ni million 200 Hivi hata million 200 kununua ventilators 100 hio ni billion 20 kweli hata hizo hela ni kusubiri wafadhili kutoka marekani Pesa ngapi zinahondomolewa...
  13. Tareq20

    JamiiForums Tanzania KERO Uhaba wa Ventilator: Maisha Yapo Hatarini Hospitalini, hata katika hospitali kubwa ni changamoto

    Inauma Sana kuona kijana at 26 anafariki akiwa hajahudumiwa siku mbili nzima toka afikishwe hospital Kila siku anaambiwa subir daktari Leo atakuja daktari kumbe mgonjwa wangu alikua ana internal bleeding inayoendelea taratibu maumivu nilionao Hua Hayaishi mpaka Leo hasa nikimuona mwanae...
  14. Tareq20

    JamiiForums Tanzania KERO Uhaba wa Ventilator: Maisha Yapo Hatarini Hospitalini, hata katika hospitali kubwa ni changamoto

    Nilipata mgonjwa wa ajali 2023 ambae alikua very stable tunaongea tunacheka shida ilikua Ni mfupa tu umevunjika lakini alifariki kwasababu ya uzembe kutowajibika na ufinyu wa madaktari Temeke hospital toka siku hio Hua hata naogopa kwenda hospitali za serikali nipo radhi nitoe saving yangu...
Back
Top Bottom