Kuna mtu alikua anaongea kistaarabu kuliko pole pole tena mama samia alikua anamuita muheshimiwa Rais majina kama mama mbona katekwa mapema sanaa
Yule mzee malisa sijawahi kusikia tusi hata moja katika speech zake lakini mbona alikamatwa
Church boy Soka mbona katekwa sijawahi kusikia...
Baada ya miez mitatu hio Namba itarudi tena kutumika WhatsApp mie nishafungiwa sanaa kulingana na shughuli zangu hio ni hali ya kawaida Sana na ukiendelea kulazimisha hivyo haitoruidi mazima tafuta Namba nyingine Kuta unatumia baada ya miez mitatu inakaa sawa unarudi kwenye Namba yako
Kuna...
Samia amefanya mengi Sana mazuri ni sisi tu tunajifanya hatuoni
Mengi mazuri kaifanyia familia yake
Abdul kina wanu na mchengerwa wamefaidika Sana na mazuri ya mama
Sidhani kama sisi hasa gen Z tutakuja kutawaliwa tena na mtu kama huyu huko mbeleni viraisi vya akujiokotoza okoteza haya ndio...
Nyerere baada ya Yale majaribu ya mapinduzi mbalimbali aliamua kwa makusudi kuvuruga baadhi ya mambo kuanzia jeshini katiba n.k na Bahati nzuri baadae alielewa alifanya makosa Kiukweli ametiachia hili shetani CCM na litatutesa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.