Nchi 10 zinazoongoza kwa kutoa misaada Tanzania

Nchi 10 zinazoongoza kwa kutoa misaada Tanzania

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,853
Reaction score
3,098
Nchi 10 zinazoongoza kwa kutoa misaada mingi kwa Tanzania kulingana na taarifa za mtiririko wa ufadhili wa kimataifa:

1. Marekani inatoa Dola 649,000,000 sawa na Sh1.7 trilioni. Misaada hiyo inajikita katika sekta za Afya, Elimu, Kilimo na Utawala Bora.

2. Uingereza – Dola 422,000,000 sawa na zaidi ya Sh1.1 trilioni. Misaada hiyo inajikita katika Afya, Elimu, Usalama na Utawala Bora.

3. Umoja wa Ulaya (EU) – Dola 385,000,000 sawa na zaidi ya 1 trilioni. Misaada hiyo inajikita katika Miundombinu, Kilimo, Biashara na Mazingira.

4. Ujerumani inatoa Dola 290,000,000 sawa na Zaidi ya Sh759.8 bilioni. Misaada hiyo inajikita katika Utawala Bora na Mafunzo ya Ufundi.

5. Japan inatoa Dola 235,000,000 (Inajikita katika Miundombinu, Elimu na Nishati)

6. Canada inatoa Dola 117,000,000 sawa na Zaidi ya Sh615.7 bilioni. Misaada hiyo inajikita katika Utawala Bora, Afya, Usawa wa Jinsia na Mazingira.

7. Uswisi – $96,000,000 sawa na Zaidi ya Sh251.52 bilioni. Misaada hiyo inajikita katika Ukuzaji Uchumi, Elimu na Utawala Bora.

8. Sweden inatoa $87,000,000 sawa na Zaidi ya Sh227.94 bilioni. Misaada hiyo inajikita katika Haki za Binadamu, Elimu, Afya na Utawala Bora.

9. Norway
inatoa $70,000,000 sawa na zaidi ya Sh183.4 bilioni. Misaada hiyo inajikita katika Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi.

10. China
inatoa $62,000,000 sawa na Zaidi ya Sh162.44 bilioni. Misaada hiyo inajikita katika Miundombinu, Biashara na Teknolojia).
 
Halafu sasa wabunge wetu wanalipwa hela nyingi zaidi ya wabunge wa Sweden, nchi inayotupa misaada.

China wao ubunge ni kazi ya kujitolea. Serikali inagharamia malazi tu kipindi cha mikutano ya bunge. Mikutano ikiisha wabunge wanarudi mtaani kuendelea na shughuli zao za kuwasingizia kipato. Sisi kwetu wabunge wapo kwenye payroll ya serikali kama full time employed
 
Wanapenda mno misaada, ndio maana wanatufanyia wanavyotaka
Kuna watu tegemezi kama waislamu na mashehe wenu ....hapa dar hakuna msikiti ulioweza kujenga choo chake kwa pesa ya sadaka isipokuwa kwa kuomba arabuniu kwa waarabu ...msahada pekee wa waarabu kwa watanzania ni kujenga vyoo vya misikiti na misikiti na visima vya maji ya kitawazia
 
Back
Top Bottom