alafu kuna mibwege humu inanyanyua pua eti darasa ni mkali kuliko joh makini..chalii ya daraja bee,mwamba wa kaskazini na bongo tz kwa ujumla
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dada mmoja anaitwa TINNA yupo opposite na stand ya Dar express..nimempendekeza yeye kwakua anauzoefu wa miaka mingi na hiyo biashara,zaidi ya miaka ishiririni hapo utapata vyote jaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo kwa Mara nyingine nimekutana na hiyo kitu..alakini mimi sina nia ya kuuweka napita tu ..hilo suala kua hawana bahati ya kudumu sijui kwakweli ila huyu nae kaolewa na kuachika Mara mbili.sasa hapo ndipo hii thread inakua between to line,truth or false
Sent from my SM-G920F using JamiiForums...
Kwanini hamkumshirikisha kwenye kusaini hiyo mikataba ..nakumbuka mlitaka hata kumtoa roho pale alipo kua anapinga na bungeni mliwafukuza nje ya bunge.leo ndio mm naona umuhimu wake.kwanza hakuna mtu mnafiki kama wewe..mwenzio yashamkuta bado wewe.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums...
Ni udhalilishaji kwenye tasnia ya sanaa hapa nchini kwa kauli kama ile kutoka kwa Diamond(kama ni kweli)
Amedhalilisha wanawake wote duniani na hasa kwa kinadada wanamuziki. Dharau hii nadhani ni ule msemo kua masikini akipata (..).
Haya sasa swali kwenu kinadada kweli nyie ndivyo mlivyo kuwa...
Ipo mkuu..japo hii nchi mambo ya muhimu kama hayo huwa hayapewi umuhimu wala kuendelezwa .
Yupo mwalimu mmoja aligundua kua maji ya moto ukiyaweka kwenye Friji (jokofu)maji hayo ya moto yataganda mapema zaidi ya yale hayo mengine ambayo sio ya moto.
Japo ugunduzi unaonekana usio na tija alakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.