Mkuu Mimi natumia units 6-7 Kwa siku ambazo naona ni matumizi makubwa kuliko uhalisia.
Kuna fridge 1, fans 3 ambazo muda mwingi zipo on usiku mzima, pump ya maji ya kisima (nawasha mara 2 Kwa week, najaza litre 5000 Kwa lisaa 1 na dk 40), microwave (wastani wa matumizi dk 10 Kwa siku), TV, Taa...
Ndugu Mdude_Nyagali hii story umeileza vizuri sana. Mimi pia nilikaa Central week 2 cello moja na huyo Jasusi. Alinisimulia exactly ulivyoiweka hapo juu. Hii issue waliongea wakubwa JP na Kagame kuimaliza juu kwa juu. Jamaa alitoka Central na kurudi Rwanda ingawa sikujua Kwa masharti yapo...
Nani kakudanganya kuwa mganga ndiye anayeweza kukupa dawa ya kupata ajira? Ukishamwamini mganga wa kienyeji ndio utapotea mazima, hakuna mtu mwenye mafanikio ya kweli aliyefanikiwa na kudumu katika mafanikio kwa kumtegemea mganga.
Unatakiwa upambane kuumiza akili katika kujitafutia kipato...
Mkuu hivi malipo yanayofanyika mbadala wa kifungo yanatakiwa kulipwa ndani ya siku ngapi baada ya hukumu? Samahan Kwa swali nje ya mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za leo,
Nahitaj kufaham ni mkoa gani naweza kupata Kunde nyeupe Kwa wingi na bei Kwa kilo ni kiasi gani.
Ninahitaji tani 400.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.