MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
Kukubali hukumu hii ya kesi iliyokuwa inawakabili viongozi wa CHADEMA katika mbinu za kisiasa hasa kuelekea uchaguzi mkuu 2020 ni mbinu dhaifu Sana.
Ikumbukwe bado mna hoja nzito ya tume huru ya uchaguzi,na mazingira yaliyopelekea mpaka mnatiwa hatiani,kisababishi ni hiyo hiyo tume ya uchaguzi.
Ilipaswa kukomaa mpaka kieleweke muachiliwe kwa kutopatikana na kosa juu ya kesi iliyokuwa inawakabili.
Pia soma >Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea
> DPP: Bado naitafakari hukumu ya Viongozi wa CHADEMA, naweza kukata rufaa
Ikumbukwe bado mna hoja nzito ya tume huru ya uchaguzi,na mazingira yaliyopelekea mpaka mnatiwa hatiani,kisababishi ni hiyo hiyo tume ya uchaguzi.
Ilipaswa kukomaa mpaka kieleweke muachiliwe kwa kutopatikana na kosa juu ya kesi iliyokuwa inawakabili.
Pia soma >Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea
> DPP: Bado naitafakari hukumu ya Viongozi wa CHADEMA, naweza kukata rufaa