Shubamiti zenu Voda kwanzia juzi naweka jero tu ...mambo ya elfu 10 - 50 za net msahau , tunawapa pesa majiz na namadukuzi.... yaaan kukifupi nyie wambea mambo hayawahusu unaingilia sasa mkachukue hela za vocha hukohuko unakopeleka umbea wenu..... Pumbavu
Kampeni za uchaguzi wa mwaka 2015 zinapingwa Jengo la terminal 3 majengo yalikuwa wameshajengo ,bati zimeshapigwa(Jengo Lina bati kabambe sana),madaraja saba ya kupandia ndege yanamaliziwa hatua za mwisho.(ila sio Yale ya magurudumu yanayomove)
Magu anaingia mradi ulisimama kwa muda wakichambua...
Tatizo kubwa ni Jina maana Kila wakimwombea kwa jina Paul Makonda Mungu anabaliki Paul Makonda Original yeye inatakiwa ambewe kwa jina lake Daud Bashite
Wengi wao wanakalili kutoka kwa watu wasiojua magari au wamesimuliwa mm na Nissan Terrano number B liko mpka Leo na linadunda na engine haijashushwa ...!
Utawala wa Rais Kagame utakuja leta maafa siku nyingine mbeleni..
Mpk sasa Wahutu na Watwa hawaruhusiwi kusema lolote kuhusu genocide maneno yao hayatakiwi kuvuka nje nyumba zao.wamebaki kimya wakiendelea kuongea chini chini, tena kwa sauti ndogo, wao kwa wao.
Siku mmoja wakiamini watarudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.