Hakika elimu haijawakomboa, huwezi kumtoa roho mtu kwa wizi wa simu na laptop, maswali ya kujiuliza;
1. Ni kweli ni mwizi, kuna ushahidi, imethibitika?
2. Na kama ni mwizi, kifo ni adhabu sitahiki, yaani inaendana na uzito wa kosa?
Yaani unawezaje kuibiwa laptop, ukamtoa mtu roho!!!!! Afu...