Kibaka auliwa DIT akiiba

Kibaka auliwa DIT akiiba

Da nihuruma kusikia mtu kauliwa, ila ni mbaya kuibiwa kiukweli wezi walinirudisha nyuma hatua 5000000000 .Kama hajawa kibaka namwombea kwa mwenyez mungu amhifadh mahala pema kwan dunia yasasa adui wa mwanadam kawa mwanadam
 
Hao ndio wasomi wa digitale aka makanjanja,project nzima kaweka kwenye laptop tu hana back up kwenye desktop au hata flash hahaha.

Simple solution zinawashinda kweli, vipi kuhusu kutengeneza mikakati ya kudhibiti uwizi wanakimbilia kuua ndio wanaona suluhisho rahisi, wameniacha hoi hawa
 
Polisi kwa kushirikiana na TCRA wamfuatilie mtoa mada ili atutajie alioshirikiana nao kumuua huyu kijana ambaye tunafahamu fika kwamba ni 'innocent until proven guilty in a court of law' ma'nina..!!!!
 
Polisi kwa kushirikiana na TCRA wamfuatilie mtoa mada ili atutajie alioshirikiana nao kumuua huyu kijana ambaye tunafahamu fika kwamba ni 'innocent until proven guilty in a court of law' ma'nina..!!!!
Si suluhisho, aliyetoa habari si muuaji, na aliyeuwawa ni mwizi.
Sasa unataka proof gani, pengine wewe weka mlango wako wazi Xmas hii kwa majaribio ya kisheria.
 
Si suluhisho, aliyetoa habari si muuaji, na aliyeuwawa ni mwizi.
Sasa unataka proof gani, pengine wewe weka mlango wako wazi Xmas hii kwa majaribio ya kisheria.
Huyu mtoa habari amesema mwenyewe kwamba hawatamwacha mwengine atakaekuja, hivyo kwa huyu ameshiriki kumuua na hata 'watuhumiwa' wengine ataua tena! HIVYO NI MUUAJI! Huyu kijana atakuwa mwizi tu pale hakimu atakaposema kwamba ni mwizi.., not otherwise. POLISI NA TCRA MTUPE MREJESHO. na mimi siuachi huu uzi hadi eithr 1.) polisi watupe mrejesho juu ya kukamatwa kwa mtoa mada. 2.) Uzi upigwe kufuli.
DON FRANCIS Nimeongeaa.
 
Huyu mtoa habari amesema mwenyewe kwamba hawatamwacha mwengine atakaekuja, hivyo kwa huyu ameshiriki kumuua na hata 'watuhumiwa' wengine ataua tena! HIVYO NI MUUAJI! Huyu kijana atakuwa mwizi tu pale hakimu atakaposema kwamba ni mwizi.., not otherwise. POLISI NA TCRA MTUPE MREJESHO. na mimi siuachi huu uzi hadi eithr 1.) polisi watupe mrejesho juu ya kukamatwa kwa mtoa mada. 2.) Uzi upigwe kufuli.
DON FRANCIS Nimeongeaa.
Kitu cha ,aana uwepo eneo la tukio.
 
Kijana wa kati ya miaka 25 hadi 28 auawa na wanafunzi wa DIT baada ya kukamatwa akiiba alfajiri ya kuamkia leo. Kumekuwa na matukio mengi ya wanafunzi kuibiwa laptop SIM tablets pamoja na nguo. Mwili wa mwizi huyo upo barabarani kati ya uzio wa DIT na Regency hospital.

Damu yake na iwe juu yenu na ya watoto wenu. ..u can't kill a person no matter what
 
kijana wa kati ya miaka 25 hadi 28 auawa na wanafunzi wa dit baada ya kukamatwa akiiba alfajiri ya kuamkia leo. Kumekuwa na matukio mengi ya wanafunzi kuibiwa laptop sim tablets pamoja na nguo. Mwili wa mwizi huyo upo barabarani kati ya uzio wa dit na regency hospital.

mshahara wa dhambi mauti sema amen kama wamamwini mungu
 
Hakika elimu haijawakomboa, huwezi kumtoa roho mtu kwa wizi wa simu na laptop, maswali ya kujiuliza;
1. Ni kweli ni mwizi, kuna ushahidi, imethibitika?
2. Na kama ni mwizi, kifo ni adhabu sitahiki, yaani inaendana na uzito wa kosa?

Yaani unawezaje kuibiwa laptop, ukamtoa mtu roho!!!!! Afu unajiita msomi au mcha mungu, ndo maana nimeamua kuwa atheist. Adhabu ya kifo ni kwa aliyeua tu. Watu wameiba mabilioni nakuwakosesha mikopo ya elimu na madawa hospitalini, wapo wanatanua mtaani, kawapigeni mawe basi au fanyeni maandamano basi!! Usomi bila ku-reason!!
 
Sipendi sana kushabikia kumuhukumu mtu anaeitwa mwzi kwakumuazibu bilakua na uhakika na alichoiba japo siwapendi sana wezi nimeshuhudia watu wakiitwa wezi nakuazibiwa huku nikiwa nauhakika kwa asilimia zote kuwa siwezi.
 
Back
Top Bottom