Bw.Mwigulu,naomba nikuulize swali kwa kuwa umejileta mwenyewe jf,hivi ndg yangu mnayowafanyia wapinzan wenu mnaona ni sawa?Hivi kwa akili ya kawaida mnafikiri mtaendelea kutawala milele?Hivi hii nchi ni yenu tu WENYE mlengo wa ccm na wengine WENYE mlengo tofaut nanyi ni wakimbizi?Kwa Nia njema...
Ni kweli kwa haraka haraka ukisoma ujumbe wa mtoa mada unaweza usimwelewe,ila ametumia bonge la fasihi na tafsida,na tukizingatia hali ya sasa ukimwita dikteta uchwara ni kosa,na pia ukimwita mtukufu sana napo ni kosa,Ujumbe wa mtoa mada ni kweli umetulia,kikubwa ni kusoma kwa utulivu na umakini...
Acha upumbavu,unapotetea u. Jin. Ga na wewe ni walewale.Huyu mkuu wa Mkoa hana busara hata kidogo,kwa nn apotoshe ukweli,ni kwa Faida ya nani?aache ujuha na kujikweza.
ndugu,tuwekee na za mikoa kama KAGERA,maana hata kwenye website ya Tamisemi hakuna,sasa sijui ndo yale yale ya kukurupuka toka day one hadi leo hawajagundua .
Mleta mada na wewe ni KILAZA kama vilaza wengine,Wewe ambacho kimekuuma kwenye taarifa hiyo ni nini?Ulitaka vipaza sauti vitoke wapi,Lumumba au Jehanamu?Acha umbea,tafuta maisha,
Aisee hili bandiko limetulia si mchezo.Jf tunahitaji vitu kama hivi,si kusifia ujinga ujinga wa ccm hata kwenye makosa ya wazi,kisa katamka Rais.safi kijana kwa bandiko murua.
kwa ujumla ww ndiye hauna akili,kosa la Eu ni lipi hapa?yaan kusimamia ukweli unasema ni wachochezi?. Kwani kilichofanyika Zanzibar hata kipofu aliona na kiziwi alisikia.Pole,jiandae kwa kibano na kipigo juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.