PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
ukiyastaajabia ya mussa basi ya firauni yatakutia wazimu, ni msemotu wa wahenga, na sinema zinazoendelea kwenye nchi yetu.
Sasa kwanini wanarusha LIVE hawajui wengine leo wapo makanisani hawataona?
Kwanini kama kigezo cha kuzuia bunge ni kuwanyima wengine fursa ya kutizama kwa kigezo cha wapo katika majukum mengine, je! Serikali haijui kwamba wengine leo wapo makanisani?
Kwa nini basi kigezo kilichotumika kuondoa live bunge kisingetumika kuondoa sikukuu hiiya wafanyakazi kuonyeshwa live?
Naomba kuwasilisha.
Sasa kwanini wanarusha LIVE hawajui wengine leo wapo makanisani hawataona?
Kwanini kama kigezo cha kuzuia bunge ni kuwanyima wengine fursa ya kutizama kwa kigezo cha wapo katika majukum mengine, je! Serikali haijui kwamba wengine leo wapo makanisani?
Kwa nini basi kigezo kilichotumika kuondoa live bunge kisingetumika kuondoa sikukuu hiiya wafanyakazi kuonyeshwa live?
Naomba kuwasilisha.