Recent content by talalila

  1. T

    Mengi akava jarida la Fobres Africa la July 2014

    Ingia website ya forbes kuna sehem wameweka vigezo wanavotumia hicho cha kukuuliza mwenyewe hamna na haijawah tokea hata siku moja...
  2. T

    Wadau wa iphone smartphones mpoooo!

    Duu we jamaa ww iphone 4 laki nne na sabini...?
  3. T

    T.I amezichapa na Mayweather

    Komeka mchezo wa mtaani hauna sheria labda jaribu fatilia maisha ya hawa watu wawil utaelewa kwa nn nakuambia t.i kwa mtaani sio mtu mzuri floyd hamuwez asilimia mia.. Unafikil why 50 cent kamwambia mayweather aachane na bifu na T.I coz sio mtu mzuri..!!? Kama unamaanisha ulingon sawa lakin...
  4. T

    Kitendo cha Juma Nature kumkejeli na kumdhihaki Diamond ni ishara ya wivu

    Bro kuwa makini juma nature hajamtaja diamond mule bro...
  5. T

    Kwa nini wanawake/wasichana wanene wenye makalio hawapati wanaume wa kuwaowa?

    Mwanamke mwembamba sana ukitembea nae barabarani huchelewi kuambiwa umeiba skeleton za experiment laboratory... Wastan mpango mzima yan pakushika pawepo
  6. T

    Wapinzani waungana na Kagame kupinga Tanzania kupeleka Majeshi nchini DRC Kupambana na M23

    Basi wenje huyo ndo kageuka labda hujaangalia bunge ndugu mleta mada hajaongeza wala kupunguza hapo pa wenje
  7. T

    T.I amezichapa na Mayweather

    Bro sio rumors ni kwel kabisa hata police aliekua anafanya investgatn ya ile kesi baada ya kustaafu alisema alitaka kuongea ukwel lakin viongoz wake wa juu walimkataza kwa kuhofia vurugu na mauaji zaid na pia anadai kuna watu walikula rushwa ndefu sana ku cover story
  8. T

    T.I amezichapa na Mayweather

    Suge night ni mshenz wa tabia bro kama umefatilia ripoti ya LAPD na ile ya mke wake wa zamani suge ndo alipanga mchongo mzima wa kumuua pac na alipokua jela alimtuma mke wake akampe hela mtu kwa ajil ya kumuua big... Mke wake hakujua hela ya nn mpaka pale alipomuona yule jamaa kakamatwa kwa...
  9. T

    Naomba ushauri, uume kushindwa kusimama

    Haahhh punyeto haina madhara aisee bro ongeza hisia ukiwa na mpnz wako waza hapo tuu na uwe unampapasa na na kumwangalia maumbile yake mzigo fastaaaaa
  10. T

    T.I amezichapa na Mayweather

    Fuatilia story ya maisha ya T.I ndo utajua huyu jamaa sio mtu wa kuchezeana nae kabisa mayweather outside the ring hamgusi ti... Kwa rekodi haraka haraka tuu 2009 TI alikamatwa na polisi na kukutwa na bunduki aina za shotgun 100 kwenye gari yake... Akatupwa jela.. Alipotoka tuu akakuta best...
  11. T

    Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

    Na hii kampuni ya jay-z anyoiita rocafella niaje hapo
  12. T

    Udahili wa wanafunzi kidato cha tano

    Kuna shule za sekondari za binafsi zinatangaza kudahili wanafunzi wa kidato cha tano hata wakiwa na d3 au c2 na d1 au d5 wanadai eti wameruhusiwa na wizara ya elimu.. Kama kuna mtaalam toka wizarani hapa jamvin atujuze hli maana tusijeibiwa pesa zetu
  13. T

    Kudahili wanafunzi kidato cha tano

    Kuna shule za sekondari za binafsi zinatangaza kudahili wanafunzi wa kidato cha tano hata wakiwa na d3 au c2 na d1 au d5 wanadai eti wameruhusiwa na wizara ya elimu.. Kama kuna mtaalam toka wizarani hapa jamvin atujuze hli maana tusijeibiwa pesa zetu
Back
Top Bottom