Naomba ushauri, uume kushindwa kusimama

Mkuu hilo si tatizo but ni dalili ya tatizo tena si ajabu unapomaliza la kwanza unahisi usingizi kabixa au hata kulala hili ni kawaida kwa wanaume wengi kwani sperm huwa zinazalishwa hivyo uume usinyaa kusubiri sperm kujaa tena kwenye mayai na energy inayotumika ni nyingi mno kiasi cha kusababish usingizi mzito ila haitakiwi ichukue mda mrefu hivyo kwa kawaida ni dakk 5 hadi 15 tu...!!nakushauri utumie sana vyakula vya asili matunda mengi zaidi na mboga mboga za kijani pia kama unataka kudo usiku kwa mfano ni vyema ufanye maandalizi mapema kuanzia asubuh yani hakikisha maji unakunywa ya kutosha at list litre 2 na nusu na kuendelea chakula cha kutosha ule ushibe afu weka mawazo yako kwenye tendo pia mwandae mwenzio hakikisha we ni msafi na mwenzio pia msafi harufu mbaya mda mwingine husafabisha hamu kupotea...!ni hayo tu mkuu...!!

nimepata kitu hapa.
 
Haahhh punyeto haina madhara aisee bro ongeza hisia ukiwa na mpnz wako waza hapo tuu na uwe unampapasa na na kumwangalia maumbile yake mzigo fastaaaaa
 
mnaosema nyeto inamadhara kwa kufanya uwahi
waongo na uenda hamjawahi shiriki nyeto
mi napga nyeto mwaka wa 11 sasa
lakn dudu inapiga kazi kiasi ambacho dem wangu ananiambia baby nimechoka
mzunguko wa kwanza tu..inakuwa patashika kunasuka
Njia nzuri ya kujifunza kuacha kupiga mihuri ni nyeto.
 
Mkuu hilo si tatizo but ni dalili ya tatizo tena si ajabu unapomaliza la kwanza unahisi usingizi kabixa au hata kulala hili ni kawaida kwa wanaume wengi kwani sperm huwa zinazalishwa hivyo uume usinyaa kusubiri sperm kujaa tena kwenye mayai na energy inayotumika ni nyingi mno kiasi cha kusababish usingizi mzito ila haitakiwi ichukue mda mrefu hivyo kwa kawaida ni dakk 5 hadi 15 tu...!!nakushauri utumie sana vyakula vya asili matunda mengi zaidi na mboga mboga za kijani pia kama unataka kudo usiku kwa mfano ni vyema ufanye maandalizi mapema kuanzia asubuh yani hakikisha maji unakunywa ya kutosha at list litre 2 na nusu na kuendelea chakula cha kutosha ule ushibe afu weka mawazo yako kwenye tendo pia mwandae mwenzio hakikisha we ni msafi na mwenzio pia msafi harufu mbaya mda mwingine husafabisha hamu kupotea...!ni hayo tu mkuu...!!


Kwa mwanamme wa kitanzania hii kitu si anaona unampa shida tu. Uyasemayo ni ya ukweli kabisa ila tatizo la watanzania wanafikiri tendo la ndoa ni la kijeshi, yaani unachapa tu kwapu kwapu kisha unarudia tena. Usikute hata huyo uliyempa ushauri kakasirika kwa nini unampeleka shule wakati yeye anataka solution ya haraka haraka bila ya kumlainisha mwenziwe kitandani.
 
Back
Top Bottom