Ila watu wagumu kuelewa bwana,au mleta uzi umeamua kutengeneza bifu ya kulazimisha ili upate coments za kutosha? dada Mond ni sawa na diamond? kuwa na akili,kwani unawajua wasanii wote ww? kwa taarifa yako hamzungumzi huzo mtu,hata mie namkubali sn ngololo but jina lake c dada mond ni diamond.
Wapende wasipende Dimond yupo juu kwa sasa walisema dimond freemason yakapita,wakasema kenda kwa mganga yamepita,mara muuza unga yamepita na madogo kila siku wanamuimba lakini wapi yupo pale pale nature naye anatafuta namna ya kutoka .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.