Majambazi wa stakishari ndio habari gani? Ina maana hapa Dar wapo majambazi hao tu wewe?
Hakuna wa kuweza kuthibitisha hilo, hao watu waliopigwa risasi wanaweza kuwa ni vibaka tu hakuna mwenye uthibitisho.
Waliofanya uhalifu stakishari hawajatambuliwa wala hawakuacha vitambulisho.
NB: HABARI...
Habari za asubuhi wadau?
Poleni kwa pilika pilika za hapa na pale..
Naombeni ushauri wenu, mimi wakati nachagua masomo ya kusomea degree ya kwanza, sikupata fursa ya kuchaguliwa katika course ya land management and valuation pale Ardhi, sasa nataka niisome kama Postgraduate kabla ya masters...
kumbe ndiyo maana mkenya mmoja ni sawa watanzania wanne katika productivity!!
Dah! Serikali imetumia gharama kubwa sana ikidhani inazalisha Mchele, kumbe zinatoka Pumba tu!
Proffessional driving courses offered.
Chuo kipo Mabibo, kina link na chuo cha taifa cha usafirishaji, hivyo ukimaliza mafunzo utakuwa regarded kama proffessional kutoka NIT.
MABIBO GETWELL DRIVING SCHOOL, Inakukaribisha katika mafunzo ili uwe competitive kwenye soko la ajira.
Kwa mawasiliano...
Wakuu, bila shaka mko salama!
Poleni sana kwa majukumu ya hapa na pale katika ujenzi wa familia na taifa kwa ujumla!
Well, mimi ni kijana wa elimu ya juu, nategemea kuhitimu masomo yangu ya chuo kikuu mwezi ujao katika field ya logistics and transportation technology.
Ndoto zangu ni kuja kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.