Recent content by Tairus

  1. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachukua funguo yangu

    Forward ya nn
  2. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachukua funguo yangu

    Unapopewa Lifti alafu unataka kupiga honi tukueleweje..
  3. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachukua funguo yangu

    Ni ndugu yangu kabisa mdogo wake mama kapata kazi sasa yuko kwenye training akaniomba kukaa na mm kwa muda.. Jana kamleta demu wake na wamefanya uzinzi kitandani kwangu. Nilimkataza Nimemwambia anipe funguo nikiingia anaingia na nikitoka anatoka[emoji23]
  4. Tairus

    JamiiForums Tanzania Namba D michosho sana

    Ukimwambia tuachane utasikia ooh..Nirudishie muda wangu ulioupoteza[emoji23][emoji23] Ntarudi.. Uzi bado unaweza kuongeza sifa zao nyingine.
  5. Tairus

    JamiiForums Tanzania Kuna siri gani kwenye pete?

    Naombeni msaada. Nilinunua Pete moja kwa mmasai sasa niliivaa siku moja nilianza kuota ndoto za ajabu na siku iliyofata nilikutana na aliyekuwa x wangu kitu ambacho sikitegemea. Je, kuna nguvu gani na nawezaje kujua aina ya Pete ninayotakiwa kuvaa isinisumbue?
  6. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana wenu ninaaibika kwa pisi kali, naombeni ushauri

    Malaika ikishuka mbinguni akasema hatuna dhambi..Kamse....
  7. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimempa ujauzito mke wa mtu

    You are dead mof...
  8. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini kinakufanya usiisahau siku ya harusi yako?

    Hahahahaaa
  9. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

    Dah
  10. Tairus

    JamiiForums Tanzania Destiny Manifesto; dhihirisho kuwa tunaishi maisha yenye ukomo

    Una ushahidi gani mkuu..Naona kama mtu yoyote anaweza kuwaza kama wew na akapuuzia
  11. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nataka kuachana na Mwanamke ninayeishi naye

    Ni single mother..Au sijakusoma mkuu.
  12. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Ukweli mchungu niende moja kwa moja kwenye mada..Ndugu zangu sikuwahi kuwaza kama kuna siku nitakuja kuona ndoa chungu ila kwa haya yanayoendelea najutaaa. Mwanzoni kabisa nilipokutana na wife alinambia ameshakutana kimapenzi na mwanaume mmoja tuu na kwamba mimi ni wa pili. Sasa niliona kama...
  13. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemwambia mke wangu tuachane halafu turudiane

    Inaitwa "Back to basics.." I invented [emoji28][emoji28][emoji28]
  14. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemwambia mke wangu tuachane halafu turudiane

    Nitarudi kueleza zaidi kuna watu hawawezi nielewa...Asante sana kiongozi.
  15. Tairus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemwambia mke wangu tuachane halafu turudiane

    Ipe Jina..[emoji28][emoji28]
Back
Top Bottom