Zile kiki mnazitumia kwann kila unapofka uchaguzi wanaongezeka mtaani migari mikubwa mi kubwa utadhani tupo syria....... Alafu kaa kimya tu inaonekanaa na wewe kidampa weny3we wanajua vizuriiiii mchezo wao,,,,,, kwani hujackia dimani uchaguzi jimbo moja tu mpaka jwtz walikuwepo!! Just mute.