Recent content by Taifa letu

  1. T

    JamiiForums Tanzania Seriously

    Rais hajui kuwa tatizo la ajira lina madhara makubwa kwenye chaguzi zijazo yaan hata viajira 800 ni shida kutoa mpaka anaona bora kuachia wafungwa!!!!....nakukumbusha tu midege Kule namanyere na nkasi hawazijui!! Hutaki hata kulisha ng'ombe siku ya mnada!!!
  2. T

    JamiiForums Tanzania Ni shidaa

    Mh.rais anaona bora kuachia huru wafungwa kuliko kuajiri askar magereza 800. Hapo hapo anasema hela hipo ya kununua Boeing mpya.....aisee yaan tatizo la ajira ni la kipaumbele kuliko tunavyoambiwa huku mtaani!!!!
  3. T

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wapya iogopeni PPF Kama kifo

    Mimi kazi zangu za mikataba ndo wasinifuate kabisaa,
  4. T

    JamiiForums Tanzania Tutajikumbusha hapa baada ya Makonda kushindwa vibaya kwa Mara ya 8

    Si kila issue unaweza kutafutia kiki
  5. T

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kinondoni umefeli kupambana na Madawa ya kulevya!

    Toa habari za siasa wewe mbunge hana dola, yeye hata akisema serikali ndo wenye jukumu kubwa. Mtaje walahu mkuu wa wilaya, mkoa
  6. T

    JamiiForums Tanzania Feza boys: Form one - form four zaidi ya Tsh Million 45! Serikali idhibiti hizi ada

    Zenu za bure hizo si ndo mnaburuza mikia
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo haya ya kidato cha nne,Serikali na Wizara husika viwajibike.Tutatengeneza Taifa bovu

    Elimu ni bure..... Au ulisahau?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Sio kweli kwamba CCM inategemea dola na NEC ili ishinde

    Eeeeh kaniulizie mbowe
  9. T

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Natafuta chumba t/segerea mwisho kisizid35
  10. T

    JamiiForums Tanzania Sio kweli kwamba CCM inategemea dola na NEC ili ishinde

    Zile kiki mnazitumia kwann kila unapofka uchaguzi wanaongezeka mtaani migari mikubwa mi kubwa utadhani tupo syria....... Alafu kaa kimya tu inaonekanaa na wewe kidampa weny3we wanajua vizuriiiii mchezo wao,,,,,, kwani hujackia dimani uchaguzi jimbo moja tu mpaka jwtz walikuwepo!! Just mute.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Jicho la ndani: Sababu za kitaalamu za kushindwa kwa CHADEMA na UKAWA katika uchaguzi mdogo

    Tume ingekuwa huru ningeeona umeeongea vitu vya msingi Sana lakini piiiiiih!
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kumbe ndiyo maana Mkulu huwa anawapigiaga simu Clouds na kuwapongeza

    Kazi zake nzur mimi kaniboa kwenye ajira tu! Msema kweli mpenzi wa Mungu.
  13. T

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Rais Magufuli amteua Anne Kilango Malecela kuwa mbunge

    Lin kuteuliwa na kutenguliwa kutaisha nchi hii
  14. T

    JamiiForums Tanzania KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    Sio kwa serikali hii
  15. T

    JamiiForums Tanzania Kama uliolewa na hukuwa bikra usiwe na wivu

    Hahahhahahha umenifurahisha sana hata mlevi anataka ubora
Back
Top Bottom