Recent content by Tabalo

  1. T

    Hili suala la wanafunzi kubaki shule lina umuhimu mkubwa kwa maisha ya baadaye ya mtoto wako

    Nakumbusha pia ▫Tukianza na 1. Masomo ya Sayansi ✅PCB, na PCM 👉wakiume tutachukua kuazia daraja la I point ya 7 -15 👉 wakike daraja la I point ya 7-17 ✅CBG na PGM 👉Wakiume tutachukua mpaka daraja la II point ya 21 👉Wakike mpaka daraja III ya...
  2. T

    Gharama kiasi gani kulisha kuku 500 wa nyama kwa Dar es Salaam mpaka kuuza?

    Kwa mfugaji kuku wanaokufa hawazidi 10 mkuu...ukipata mzoefu mzuri hawawezi kufa kuku zaidi ya hao. Tena hata 5 wanaweza wasivuke
  3. T

    Gharama kiasi gani kulisha kuku 500 wa nyama kwa Dar es Salaam mpaka kuuza?

    Rudia hesabu vizuri mkuu.matumizi hayazidi 2500000 hayo
  4. T

    IT, ICT, CS students wanaokimbia chuo ili kuwa mabillgates hapa Tanzania hawawi hivyo hata kwa mtaa tu, kwanini?

    Kati ya washkaji sita walioacha chuo,watano Wana make more than 5 milion kwa mwezi ,last time I check wanaendelea vizuri nanplan zao zimekaa poa..tuliomaliza tupo kazini kilio Cha maslah
  5. T

    Wale wanaopiga pesa online Tanzania, vipi mnatumia platform gani kupokea pesa?

    Inategemea nab Inategemea na platform mkuu..but yes nyingi zinakzingua
  6. T

    Wale wanaopiga pesa online Tanzania, vipi mnatumia platform gani kupokea pesa?

    Kutumia Haina shida mkuu..kupokea ndo ilikuwa changamoto
  7. T

    Wale wanaopiga pesa online Tanzania, vipi mnatumia platform gani kupokea pesa?

    Western union, ni easy maana unapokea cash bila Makati,PayPal iko poa though inamzunguko kidogo..wire transfer iko vizuri though inachelewa maana pesa hufika kuanzia baada ya 2 days au zaidi
  8. T

    Nina Diploma in Film Production, natafuta kazi

    Kwa mindset hii..kujiajiri utakusikia tu...nenda kaole group pale uanze kazi hata kesho
  9. T

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Weka Bei na picha Kama unazo mkuu
  10. T

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Nahutaji connection ya kuuza mahindi dar au sehemu zingine Nina zaidi ya Tani 40 store...msaada wakuu.
  11. T

    Pirates of Carrebean

    Calypso( sea goddess/mungu wa baharini) na Davy Jones walikuwa wapenzi, Calypso alimpa kazi Jones ya kuvusha roho za watu wote wanaofia baharini kwenda kwenye ulimwengu wa pili kwa ahadi kwamba kila baada ya miaka kumi Jones atakuja nchi kavu kuonana na Calypso,,baada ya miaka kumi kupita Jones...
  12. T

    Pirates of Carrebean

    Mkataba wake ulivunjwa kwa sababu ya kesi yake na mkewe..lakini kesi alishinda na Disney wakaomba radhi na kutangaza mkataba wake mpya na movie ya 6 itakuja
Back
Top Bottom