Kufanya hivyo, ata kudhubutu kutamka hayo maneno inamaanisha kuwa wewe tayari ni programmer balaa, moto wa kuotea mbali. Kama sio utakuwa kwenye ndoto na utaamka baadaye.
Kama ndivyo basi usipoteze mda wako kwenye kukosoa wengine bali tengeneza mtandao wako mwenyewe. Ukifanya hivyo...
Vijana msikubali huyu jamaa awakatishe tamaa. Facebook, twitter, whatsapp, na ma milioni ya ma technologia yalikuja kuwatajirisha wenyewe hadi kuwa matajiri wa ulimwengu. Muhimu tu ni ujipange na side hustle ya kukupa hela ya kujikimu ili usiishi maisha ya omba omba.
Not necessarily. Inawezekana mwanaume amefika mwisho wa mahusiano mabaya na ameamua ku move on na maisha yake na amekuchagua wewe kuwa mwenza kwenye safari yake mpya. Lucky you.
...nimeshagundua hakuna atakaye toka akiwa hai humu duniani. Kuna wanao tutangulia lakini na sisi tuliobaki tunanyofolewa mmoja baada ya mwingine. Kulijua hili kunapaswa kuwafariji waliofiwa kwa kiasi kikubwa.
Hivi mwanaume anaye kula malaya sio malaya pia? Kama ndivyo malaya mmoja anahaki gani kuuliza malaya mwingine kwanini yeye ni malaya?
Nnavyo elewa malaya bila mwanaume awezi kuitwa malaya. Sasa wewe usione kama nimekutusi au kukudharau ila ni kwamba unaonekana kujifanya mtakatifu kumzidi huyo...
Tatizo wanawake walio wengi hawajui siku zao za hatari na pia wanajihusisha na ngono zembe. Hawaogopi mimba wala magonjwa.
Wanaume nao uwa wameshabadilika na kuwa fisi mla watu. Wanakumbuka kuna mimba na ukimwi baada ya tendo.
Sikubaliani na mpango wako. Mapenzi hayafiki mwisho ghafla ghafla. Huwa inachukua mda na mambo mengi madogo kwa makubwa. Kama mapenzi yamefika mwisho na mmeshindwa kuvumiliana basi yaache kwa amani. Shukuru Mungu kwa mda mliokuwa pamoja. Endelea na maisha yako, ruhusu mpenzi mwingine akutimizie...
"My people perish for lack of knowledge" Uwezo wako mkubwa ni kwenye forex. Ongeza knowledge kwenye hii, punguza kiasi cha risk hadi hapo utakuwa unapata ufaulu almost mfululizo. Kumbuka kwenye forex umeshamaliza kiwango kirefu kwenye learning curve. Take it easy and do not panic.
Biashara zote...
Unaanza biashara ambayo mda mfupi tu haitakuwepo tena. Matairi karibia yote duniani yatakuwa tubeless chini ya miaka mitano.Hayo ni makadirio yangu. Ungelifanya vizuri zaidi kwenye tubeless na sio tubes.
Kila nchi duniani inamatatizo makubwa sana, ulimwengu huu hujawahi kuyaona kwa kizazi kilichopo. Sio rahisi watu wahudhurie maziko yeyote. Tumshukuru Mungu watanzania wengi na wageni kiasi walihudhuria. Hebu mkenya yeyote afe ata kama maarufu kiasi gani kama hatajizika mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.