Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,270
- 40,080
- Thread starter
- #61
Wengine wanabeba ujauzito mkuu,hiyo imekaaje?Watu wanataka utamu mkuu hayo ya kuoana unayasema wewe
Wengine wanabeba ujauzito mkuu,hiyo imekaaje?Watu wanataka utamu mkuu hayo ya kuoana unayasema wewe
Mtu akibeba ujauzito ni kwamba ameamua kuzaaWengine wanabeba ujauzito mkuu,hiyo imekaaje?
Kuna rafiki yangu alimwambia mkewe, inabidi uongeze ujuzi ili tuongeze kipato, mkewe akamjibu...' mambo ya ujuzi sio yaliyonitoa nyumbani, mi kazi yangu ni kukuzalia na kulea watoto, kuhusu kutafuta fedha kwa ajili ya familia ni kazi yako'Wanawake tunatakiwa kukaa nyumbani kupamba nyumba na kuwafurahisha kwa mapishi matamu, mapenzi na maupendo kama yote. Kujishughulisha kuingiza chochote kitu ni bonus tuu ila sio deni🤣🤣🤣🤣
Msituletee habari za haki sawa hatutaki!!!
Safiiiii mwanaume utoke majasho tuleeeeKuna rafiki yangu alimwambia mkewe, inabidi uongeze ujuzi ili tuongeze kipato, mkewe akamjibu...' mambo ya ujuzi sio yaliyonitoa nyumbani, mi kazi yangu ni kukuzalia na kulea watoto, kuhusu kutafuta fedha kwa ajili ya familia ni kazi yako'
Sawa, je na aliyembebesha ana jukumu lolote katika kulea?Mtu akibeba ujauzito ni kwamba ameamua kuzaa
Nadhani yale mambo ya haki sawa ndio yanayoharibu mfumoSafiiiii mwanaume utoke majasho tuleeee
Msivuruge taratibu za Mungu
Hata kama hana jukumu la kulea yeye mama ameshaamua kuzaaSawa, je na aliyembebesha ana jukumu lolote katika kulea?
Kulea kwa maana ya malazi, chakula, fees, matibabu, mavazi... ni babaSawa, je na aliyembebesha ana jukumu lolote katika kulea?
ha ha ha ha hayo ni mambo ya kuzeeshana kabla ya umri sasa, kijana wa miaka 30 anaonekana kama mzee wa miaka 70; ni sawa sawa na injini ya IST uweke kwenye fusoKulea kwa maana ya malazi, chakula, fees, matibabu, mavazi... ni baba
Mama atafanya usafi(Sabuni uwe umenunua), atabeba mtoto kwenda hosp, atahakikisha malazi na malezi yenu ni safi, mnakula kwa wakati na watoto wanawahi shule
😁😁😁😁😁
Basi kwa huyo aliyezaa na mume wa mtu, inabidi huyo mdada apambane mwenyewe kwenye malezi.Hata kama hana jukumu la kulea yeye mama ameshaamua kuzaa
Ndio mkuuBasi kwa huyo aliyezaa na mume wa mtu, inabidi huyo mdada apambane mwenyewe kwenye malezi.
Sawa, je na aliyembebesha ana jukumu lolote katika kulea?
Lengo lake ni kutengeneza 'bond'Amembebesha vipi? Labda kama alimbaka lakini kinyume na hapo ni kwamba mwanamke ndiye mwenye jukumu la kujua siku zake na tarehe zake zinaendaje !
ha ha ha mkuu inabidi utoe neno la kinabiiMwanaume/mwanamke kama unawapenda watoto wako na uwaone wakikua na uwaozeshe nakushauri ubadili njia zako!
Tafakari kwa kina!
Na kuacha kuchepuka kama ulishaanza huwezi kuacha hadi neema ya kumjua Mungu uikubali.
Tafuta kujifunza Habari za Mungu.
Jifunze kumcha Mungu kwa kufanya hivyo utaweza kuepukana na uovu ukiwemo tabia ya uzinzi na uasherati.
Imeandikwa: usimtende mke wa ujana wako mambo ya hiyana!
Kama ni hivyo, anatakiwa awe ametoa talakaNot necessarily. Inawezekana mwanaume amefika mwisho wa mahusiano mabaya na ameamua ku move on na maisha yake na amekuchagua wewe kuwa mwenza kwenye safari yake mpya. Lucky you.