T Total
Member
- Jun 23, 2020
- 50
- 56
Tatizo wanawake walio wengi hawajui siku zao za hatari na pia wanajihusisha na ngono zembe. Hawaogopi mimba wala magonjwa.Mwanaume hajisifii kupachika mimba na kutelekeza mtoto na mama. Zaa kwa makubaliano na mwenza wako sio kwa bahati mbaya. Hizi mimba za bahati mbaya ndiyo chanzo cha usingle mama.
Wanaume nao uwa wameshabadilika na kuwa fisi mla watu. Wanakumbuka kuna mimba na ukimwi baada ya tendo.