Recent content by T-King

  1. T-King

    JamiiForums Tanzania Rais Nicolas Maduro wa Venezuela Anusurika Kuuawa

    Tena wamechelewa sana. Na walikuwa wanamfunika kiogaoga, pale wangerusha tu kajimoto kengine walikuwa wanamuacha ajiokoe mwenyewe
  2. T-King

    JamiiForums Tanzania Rais Nicolas Maduro wa Venezuela Anusurika Kuuawa

    Si umeona hata makamanda walosimama nae wamekwepa na kumuacha pamoja na kuchafuka kote mabegani:-) mbele ya kifo hakuna ndio mkuu, kila mtu kivyake
  3. T-King

    JamiiForums Tanzania Chadema mtajuta kuwafahamu akina Sumaye

    Ukitongozwa kuna mawili, kukataa au kukubali. Umetongozwa mke wa mtu ukakubali, kuna ugoni hapo? Jipangeni.
  4. T-King

    JamiiForums Tanzania Chadema mtajuta kuwafahamu akina Sumaye

    Hata Mbowe karrudishiwa kila kitu. Hawezi sema. Bt fuatilia... mbona mwenyewe ni ccm dam dam! Sijui hata kama Lisu analijua hilo. Mtapinga kwa matusi na kejeli, bt hajali ya Lisu Mbowe aliijua na kuwa miongoni ya kuipanga. Sugu kwenda gerezani alishiriki kupanga pia. Huyo Lema mnaemuita kamanda...
  5. T-King

    JamiiForums Tanzania Jina la "Magufuli" liandikwe katika moja ya ndege kubwa

    Tutakubaliana tu mkuu. Mbona Magu anakula fupa lililowashinda wengi? Mpeni mda, mtaona anachokimaanisha.
  6. T-King

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai yupo juu ya ukuu wa Mungu?

    Acheni kulialia nyie watumwa wa mbowe, kwani walifuata taratibu na wakakosa stahiki zao?... jimwenyekiti lenu lenyewe halina hata haya, kila msiba siasa hata bila kujali uchungu wa hao wafiwa, likitoka kwenye msiba linampigia wema ili akalipe point!... same story na Tobo lisa, ngaji sana nyie...
  7. T-King

    JamiiForums Tanzania Sijaona popote pale wanajeshi wa Rwanda wakilinda Ikulu ya Tanzania wala Ukuta wa Mererani

    Na fuatilia historia ya aliepandishwa cheo TRA na mkuu kwenye sakata la mafuta!
  8. T-King

    JamiiForums Tanzania Wakili Fatma Karume: Msingi wa kuleta maendeleo yoyote yale ni kupatikana kwa haki ya kuongea

    Arudi kwao, jinga sana
  9. T-King

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi kuja na maandamano nje ya World Bank HQ; huu mkakati umenishtua sana

    We nae JINGA TU.
  10. T-King

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa Serikali ya Magufuli

    Pumbavu zenu na Mbowe wenu. Ole wenu
  11. T-King

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Dkt. Willibrod Peter Slaa kuwa Balozi

    We nae.. Njaa tu. Tupishe
  12. T-King

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Dkt. Willibrod Peter Slaa kuwa Balozi

    .. Na cha ajabu zaidi wote wanatoka kule kwetu! Sijui huku kwetu tuna tamaa ya aina gani?.. haturidhiki? Mbona wastaafu wengine wamepumzika na kutoa ushauri tu. Hii mizee inatuaribia sana vijana wa kaskazini. Hakuna Rais makini atakaetuamini kirahisi. Mizee ya ajabu sana hii.. mbona Msuya...
  13. T-King

    JamiiForums Tanzania Hahahahaa et kafanana n tl hapana

    Lisu kopi kopi
  14. T-King

    JamiiForums Tanzania Joshua Nassari: Maisha yangu yapo kwenye bonde la uvuli wa mauti - Maisha yangu yapo HATARINI Watesi wetu wananitafuta

    Tena wanakera sana. Wameanzisha uongo walivyoona haulipi sasa wanajizushia eti wanatafutwa, hawa watoto wanajitekenya sana. Halafu hicho ki-nasiri kilinikera sana kilipokuwa kila point kinaingiza ukabila eti wameru walipigania uhuru! Vitoto vilimbukeni utavijua tu
  15. T-King

    JamiiForums Tanzania Ni nani alimuua Marilyn Monroe?

    Black Pope ndo anakuwaje mkuu, ni mweusi au ni kama Tittle tu?dadavua kidogo tafadhali
Back
Top Bottom