Sijaona popote pale wanajeshi wa Rwanda wakilinda Ikulu ya Tanzania wala Ukuta wa Mererani

Nadhani sasa kila mmoja amepata jibu la suala hili kuwa hakuna mwanajeshi yoyote toka Rwanda anayefanya ulinzi kwenye UKUTA wa Mererani wala sehemu nyingine yoyote ile ndani ya Tanzania...taarifa toka JWTZ na Wizara ya Ulinzi na hata wananchi wanaoishi Mererani kwenyewe....soma taarifa ya uchunguzi toka gazeti la Mwananchi la leo
 
inaweza ikawa kweli au uongo maana humu kuna watu wa aina nyingi sana na wengine wapo ikulu na kutoa kwao hizo taarifa yaweza kuwa wanawaza usalama wetu upo mashakani au wanatoa Kwa mihemko.
pia kuna kisa sina kumbukumbu vizuri ni juu ya kikwete na raisi fulani aliewekaga pandikizi lake ikulu (hii habari ilikuwa humu ila sikuitilia maanani ila content ha hio habari iliendana na nilichoandika)

hao wanajeshi wanaweza vaa sare za jeshi let na tusiwatambue maana kama wapo watu wanatapeli Kwa kuvaa sare za majeshi yetu ata hao wanaweza fanya hivyo
Na fuatilia historia ya aliepandishwa cheo TRA na mkuu kwenye sakata la mafuta!
 
Huwez kuwaona kwa sababu huhusiki na masuala haya.

Mengine yapo juu ya uwezo wako

Hata kuyajadili hakutabatilisha kilichopo

Nakushauri ndugu yangu endelea na pilika pilika za maisha kwa ajili ya familia yako
naona sasa utaridhika kwasababu wizara yenyewe imetoa tamko na JWTZ nao wamesema...unalo lingine
 
Kuna taarifa zimekuwa zikienea katika mitandao sasa ni muda kuwa Ikulu ya Tanzania inalindwa na Wanajeshi kutoka nchi jirani ya Rwanda na sasa zimeibuka taarifa kuwa Ukuta uliojengwa juzi juzi tu huko Mererani mkoani Manyara eti unalindwa na wanajeshi kutoka Rwanda pia.

Kiukweli nimekuwa najaribu kuangalia walinzi wetu kutoka vyombo tofauti ya ulinzi na usalama wanavyoanya kazi za ulinzi katika maeneo tofauti hapa nchini sijawahi kuona wanajeshi kutoka nchi jirani ukiondoa wale wanaokuja mafunzo ya muda mrefu na mfupi katika vyuo vyetu vya kijeshi kama kule TMA.

Sasa hawa wanaotoa taarifa za kudanganya umma wa watanzania wanazitoa wapi taarifa hizo?

Lengo lao ni nini kutoa kusambaza taarifa kama hizo hapa nchini?

Tanzania tunajivunia na kuyaamini majeshi yetu ya ulinzi na usalama katika kutekeleza kazi zao za ulinzi wa wananchi na maliza na kulinda mipaka ya nchi 24/7.

Walaaniwe wote wanaotaka kuvunja amani ya Tanzania kwa njia yoyote ile.

Kwanza kujifanya wewe ni msemaji wa Ikulu ni kosa kubwa sana.
Wako kibao.
Japo sio rahisi watu kukuwekea ushahidi humu. Watu royal ambao si watz ni muhimu sana kwa kujitengenezea kawigo
Hope, akiondoka nao watachapa nae rapa.
 
naona sasa utaridhika kwasababu wizara yenyewe imetoa tamko na JWTZ nao wamesema...unalo lingine
So wewe ni msemaji wa JWTZ au?
Kama sio, basi tambua kuwa hiyo ni impersonation offence.
Sijui kama unalitambua hilo
 
Jibu
Mbowe anawajua waliomchukua Ben Saanane maana taarifa yake mpaka leo ya kutoa taarifa Polisi imejaa utata mtupu.

Mwandishi mwenyewe anawajua ndiyo maana aliondoka nao mchana kweupe mbele ya kadamnasi na kwenda mpaka kuchukua funguo kwa mkewe shambani.

Watanzania wanaomiliki silaha isivyo halali ambao walikimbia na mpaka leo Polisi wanawatafuta.

Ni watanzania na wageni ambao wanauwawa na watu ndani ya nchi kwa siri kubwa kwa visa tofauti tofauti kisha kutwa huko baharini au mitoni.
Jibu na mengine yaliyosalia
 
Kwanza kujifanya wewe ni msemaji wa Ikulu ni kosa kubwa sana.
Wako kibao.
Japo sio rahisi watu kukuwekea ushahidi humu. Watu royal ambao si watz ni muhimu sana kwa kujitengenezea kawigo
Hope, akiondoka nao watachapa nae rapa.
wapi palikosema mimi ni msemaji wa Ikulu usilete mada ambazo hazipo.....toa ushahidi kuwa kuna wanyarwanda wanajeshi walinda ikulu na ukuta wa mererani kama mnavyosema mitaani kwenye mitandao?

Jeshi na wizara ya ulinzi wametoa taarifa kuwa hakuna jambo kama hilo na ndiyo maana waliona hata upuuzi tu kuanza kujibizana na habari zamitandaoni....
 
Kuna taarifa zimekuwa zikienea katika mitandao sasa ni muda kuwa Ikulu ya Tanzania inalindwa na Wanajeshi kutoka nchi jirani ya Rwanda na sasa zimeibuka taarifa kuwa Ukuta uliojengwa juzi juzi tu huko Mererani mkoani Manyara eti unalindwa na wanajeshi kutoka Rwanda pia.

Kiukweli nimekuwa najaribu kuangalia walinzi wetu kutoka vyombo tofauti ya ulinzi na usalama wanavyoanya kazi za ulinzi katika maeneo tofauti hapa nchini sijawahi kuona wanajeshi kutoka nchi jirani ukiondoa wale wanaokuja mafunzo ya muda mrefu na mfupi katika vyuo vyetu vya kijeshi kama kule TMA.

Sasa hawa wanaotoa taarifa za kudanganya umma wa watanzania wanazitoa wapi taarifa hizo?

Lengo lao ni nini kutoa kusambaza taarifa kama hizo hapa nchini?

Tanzania tunajivunia na kuyaamini majeshi yetu ya ulinzi na usalama katika kutekeleza kazi zao za ulinzi wa wananchi na maliza na kulinda mipaka ya nchi 24/7.

Walaaniwe wote wanaotaka kuvunja amani ya Tanzania kwa njia yoyote ile.
Nahisi wanalinda kwenye ndoto zao
 
unajua maana ya kukazania ? empty head umwetmwa wewe si bure sasa basi kamwambie aliyekutuma hujanikuta..............
sijatumwa ila naona unashupalia kuwa tuna wageni sekta ya ulinzi wa taifa....ndo nakuuliza mbona umekazania?
 
Kutokana na mwingiliano wa mipaka kati ya tz na rwanda na pia swala la wakimbizi wa rwanda waliokuwa nchini kipindi cha mauaji ya kimbari ni lazima ndani ya tanzania wawepo ila cha msingi ni kuwatambua ili wasiingie kwenye sehemu nyeti za serikali. Ninaamini serikali na vyombo vya ulinzi vinawatambua ni mambo tu ya kidiplomacia ndio maana huwezi skia wakitangazwa. Kwa hoja ya mwenye nyumba kuwa anatoka huko haipo kwa sababu rwanda hii ya PK imetengemaa miaka ya hivi karibuni je walimwandaa lini na kumpenyeza lini na wakati mwenye nyumba kaanza siasa muda mrefu nyuma. Na muelewe burundi tu na udogo wa jeshi lao wamempiga pini pk ndo sembuse JWTZ au TISS
 
Back
Top Bottom