bunyebunye
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 530
- 676
yuda msaliti angekuwepo awamu hii angepewa cheo cha juu sanaDah!! Awamu hii usaliti unalipa sana aisee!!
Kuuza chama kwa MAFISADI wakati wa uchaguzi mkuu pia sio mchezo mkuu.Kulipa fadhila siyo!!-kuacha ukatibu mkuu wa chama pinzani wakati wa uchaguzi mkuu siyo mchezo.
wanajifanya hawa muelewi slaa ni nani huku wanaumia roho kindanindaniKuuza chama kwa MAFISADI wakati wa uchaguzi mkuu pia sio mchezo mkuu.
Pia kuwaambia makarai wazungushe mikono na kudeki barabara sio mchezo aisee.Kuuza chama kwa MAFISADI wakati wa uchaguzi mkuu pia sio mchezo mkuu.
Jamani CCM mnayo bahati na weledi wa propoganda. Hilo halina ubishi mnapata A+. Dhana ya UFISADI mmefanikiwa sana kuipigia propoganda. Mahakama ya MAFISADI imeanzishwa rasmi leo ni zaidi ya mwaka. Nyie ndie wenye vyombo vyote vya dola (polisi, TAKUKRU, DCI, JWTZ, USALAMA wa Taifa, pamoja na 'wasiojulikana'). Ni kitu gani kimewashinda kuyapeleka mbele ya mahakama ya MAFISADI hayo 'MAFISADI' yaliyouziwa/yaliyonunua chama wakati wa uchaguzi mkuu?Kuuza chama kwa MAFISADI wakati wa uchaguzi mkuu pia sio mchezo mkuu.
Dr Slaa alijitoa chadema, kwa hiyo siyo sahihi kumwita msaliti. Wasaliti ni kina Mbowe na [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] wanaoiua chadema kwa manufaa yao binafsi.Tunazidi kuwajua Double agents wanaoutafuna upinzani.
Nimeipenda hii mkuusaafi,utaifa kwanza vyama baadae.kapige kazi doctor slaa, yatasemwa meengi lakini wew kalitumikie taifa kwa uzalendo mkuu.
Mapolisi, wanasiasa wanapewa ubalozi, kijana atashindwa nini. Maana ubalozi imegeuzwa wadhifa wa kila mtu na sio wanadiplomasiaKwahiyo ulitaka hao vijana waajiriwe kwenye nafasi za ubalozi. Yaani unamaliza chuo mara paap unapewa ubalozi. Kweli siyo mchezo
..kweli.
..kama vile Mzee anavyosema anapiga vita rushwa huku chama chake kinanunua madiwani toka chama kingine.
..hata ukijikita kwenye "maandishi" sera au dira nako hauko salama. Hebu nieleze chato international airport ilikuwepo ktk dira au ilani?
We nae.. Njaa tu. TupisheNi kujiunga tuu CCM na kukamata ulaji.
Kuhusu hili la Dr. Slaa katika bandiko hili, Ana kwa ana na Dr. Mwakyembe: Awashangaa Waliomuona yeye tu, Lakini wengine hawakuwaona! mimi nilisema hivi
P.