Chadema mtajuta kuwafahamu akina Sumaye

Chadema mtajuta kuwafahamu akina Sumaye

Msiwe na chuki bila sababu kwa hao wakuu acheni wivu unajua maana ya kazi maalum?
 
Mlikuwa kwa Mh Mbowe kwamba astaafu siasa na kaongoza sana CDM; sasa mmemgeukia Mh Sumaye tena?
Alisema watu hawajamuelewa kwanini alijiunga na upinzani. Ni Kwa faida ya CCM
 
Tangu lini mtu anaepewa mshahara na ulinzi na serikali akawa mpinzani? Kwa sasa wako huko kwa "kazi maalum"
Nakubaliana na wewe, hawa wapuuzi wamekuja kuuwa upinzani na si vinginevyo.
 
Kila mtu hapa duniani anayo price tag yake bila kujali chama, kabila, utaifa wala jinsia na dini. Tusidanganyane kwenye hilo. Ni bei tu zinatofautiana
 
Kila mtu hapa duniani anayo price tag yake bila kujali chama, kabila, utaifa wala jinsia na dini. Tusidanganyane kwenye hilo. Ni bei tu zinatofautiana
Umenikumbusha movie moja ya kitambo inaitwa Indecent Proposal. Jamaa alikubali kumtoa mke wake kipenzi atafunwe usiku mmoja kwa sababu ya shida ya pesa. Ni kweli kila mtu ana Price tag mgongoni aisee!
 
Yani huwa najiuliza sana kuhusu huu upinzani wa Tanzania sipati jibu. Hivi kama wanaweza kununuliwa na CCM kama wenyewe wanavyosema vipi tungewapa nchi yetu pendwa!!? Si wangetuuza hawa!? Hivi wazee wa US waje na mzigo wa kutosha si tungepelekwa utumwani kabisa! Nawaza tu....
Hata Mbowe karrudishiwa kila kitu. Hawezi sema. Bt fuatilia... mbona mwenyewe ni ccm dam dam! Sijui hata kama Lisu analijua hilo. Mtapinga kwa matusi na kejeli, bt hajali ya Lisu Mbowe aliijua na kuwa miongoni ya kuipanga. Sugu kwenda gerezani alishiriki kupanga pia. Huyo Lema mnaemuita kamanda ndo inachekesha zaidi. Nasari je?!!! Tuendelee kumlaumu Myeti!!!
 
Hata Mbowe karrudishiwa kila kitu. Hawezi sema. Bt fuatilia... mbona mwenyewe ni ccm dam dam! Sijui hata kama Lisu analijua hilo. Mtapinga kwa matusi na kejeli, bt hajali ya Lisu Mbowe aliijua na kuwa miongoni ya kuipanga. Sugu kwenda gerezani alishiriki kupanga pia. Huyo Lema mnaemuita kamanda ndo inachekesha zaidi. Nasari je?!!! Tuendelee kumlaumu Myeti!!!
Ukitongozwa kuna mawili, kukataa au kukubali. Umetongozwa mke wa mtu ukakubali, kuna ugoni hapo? Jipangeni.
 
Mbona wabunge wote wapinzani wanapewa magari na serikali na wengine wanatibiwa na serikali
 
Yani huwa najiuliza sana kuhusu huu upinzani wa Tanzania sipati jibu. Hivi kama wanaweza kununuliwa na CCM kama wenyewe wanavyosema vipi tungewapa nchi yetu pendwa!!? Si wangetuuza hawa!? Hivi wazee wa US waje na mzigo wa kutosha si tungepelekwa utumwani kabisa! Nawaza tu....
Wacha tu mwenyezi anamipango yake wallahi.

Vuta picha pale juu Lowassa(rais) pembeni shemeji yake Kineneko Mtei kama PRIME MINISTER.

Hao watu suala la pesa mbele kabisa na hawana masihara kwenye pesa.
 
Inasemekana mkutano wa wastaafu na mh. lengo halisi lilikuwa namna ya kuwapa wale wa "mbali" bila kusababisha maneno na mapovu
 
Sumaye na Lowasa wanaviapo vya utii, hivyo wanaweza kuitwa muda wowote na wakatoa ushirikiano kwa serikali..

Mbowe hana kiapo chochote kile.
Ukila na kipofu usimguse mkono
 
Mzee Ngoyai kamaliza igizo na Sasa karudisha Jimbo la Monduli Ofisi ndogo ya Chama Cha MaPinduzi MOnduli

Tukitoka MonduLi Ni Mlimba, Tunduma Na Kule maeneo ya Ndanda Mtwara!

Tanzania Nchi yangu
CCM chama changu
Na JPM Rais Wangu!
Katika uchunguzi wangu wa muda mrefu ni ukweli usiopingika ya kwamba wapinzani wa kweli wanatokea mikoa ya kusini,
 
Back
Top Bottom