Mwenzetu aliyetoa ufafanuzi kuhusu mfumo wa fahamu na ubongo, amejitahidi sana kutokuwa biased hasa pale alipoliweka somo hili kwa mtindo wa maswali...!
Amefanya somo limekuwa rahisi kueleweka kwasababu, kuna mtu anauliza swali linalofanana na mfumo wa fahamu lakini specific limebase kwenye...
Mh. Hakuna tatizo linaloitwa neurology...!!
Neurology ni muunganiko wa masomo/mafundisho yote yanayohusu neurones/mfumo wa fahamu wa binadamu/wanyama! Ni sawa na masomo yahusuyo urology, oncology, orthopaedics n.k,
Pia kupoteza kumbukumbu halijawahi kuwa tatizo, tatizo ni unapoteza kumbukumbu...
Bwawa lipi?!? Tabora maji yanatoka ziwani..! Taasisi na watu wachache sana wameungwa kwenye line ya bwawa la igombe! Na hao wa igombe ndiyo angalau wanapata maji kwa kiasi...!
Kwa maana hiyo serikali pia ni ya hovyo hapa Tabora sio!?? Kwahiyo makazini kesho twende by foot!? How serious are we..?!
Hivi imagine watu vyombo vyao vya usafirishaji havina mafuta! Watu wana wagonjwa usiku huu wamezidiwa inamaana wawabebe mikononi kuwawaisha hospital!?
Hivi unajua hivi sasa...
Niendee moja kwa moja kwenye mada husika!
Mkoa wa Tabora hivi sasa ninapoandika uzi huu, uko kwenye taharuki kubwa ya kukosa mafuta!
Hali ni mbaya hapa mjini, petro station moja tu mji mzima inatoa huduma ya mafuta!
Hakuna kiongozi yoyote wa chama (CCM) au serikali ambaye ametoa ufafanuzi...
Tatizo wewe ulipaswa kusema nini inapaswa kuwa suluhisho na sio kulalamika!
Suluhisho ulilolileta liko biased kwasababu ubinafsishaji haujawahi kileta faida kwenye nchi hii..!! Najua unalifahamu hilo hakuna haja ya kutoa mifano!
Toka nje ya box uwe sehemu ya maendeleo ya michezo ndani ya nchi...
Na wewe ni mtu wa ovyo pia!
Huyo mtu wa nje utakayembinafsishia TFF una uhakika gani kuwa atakuwa analinda maslahi ya wachezaji...!?
Hiyo trust experience umeitoa wapi!? Au na wewe umewahi kujibinafsisha kwake na ukapata mslahi ambayo unataka wachezaji wetu wapate!??
Hoja yako ni strong ila...
Hello! Nafikii ifike pahala matamasha haya ya simba na yanga, ili kunoga na kuwa yenye mvuto ndani na nje! KAMATI itanuliwe kwa maana timu hizi zishirikishe maoni na mawazo mazuri maalum kutoka kwa mashabiki wao!
Hili linawezekanaje!?
Kufungua dirisha maalum la maoni kwenye mitandao yao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.