Recent content by syndicate

  1. syndicate

    Akili ya binadamu

    Mwenzetu aliyetoa ufafanuzi kuhusu mfumo wa fahamu na ubongo, amejitahidi sana kutokuwa biased hasa pale alipoliweka somo hili kwa mtindo wa maswali...! Amefanya somo limekuwa rahisi kueleweka kwasababu, kuna mtu anauliza swali linalofanana na mfumo wa fahamu lakini specific limebase kwenye...
  2. syndicate

    Akili ya binadamu

    Mh. Hakuna tatizo linaloitwa neurology...!! Neurology ni muunganiko wa masomo/mafundisho yote yanayohusu neurones/mfumo wa fahamu wa binadamu/wanyama! Ni sawa na masomo yahusuyo urology, oncology, orthopaedics n.k, Pia kupoteza kumbukumbu halijawahi kuwa tatizo, tatizo ni unapoteza kumbukumbu...
  3. syndicate

    DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

    Bwawa lipi?!? Tabora maji yanatoka ziwani..! Taasisi na watu wachache sana wameungwa kwenye line ya bwawa la igombe! Na hao wa igombe ndiyo angalau wanapata maji kwa kiasi...!
  4. syndicate

    DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

    Hivi wewe mtu unataka kuuaminisha nini UMMA wa watanzania..!? Au na wewe ni chawa!???
  5. syndicate

    DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

    Kwa maana hiyo serikali pia ni ya hovyo hapa Tabora sio!?? Kwahiyo makazini kesho twende by foot!? How serious are we..?! Hivi imagine watu vyombo vyao vya usafirishaji havina mafuta! Watu wana wagonjwa usiku huu wamezidiwa inamaana wawabebe mikononi kuwawaisha hospital!? Hivi unajua hivi sasa...
  6. syndicate

    DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

    [emoji23][emoji23][emoji23] Chief ebu share na sisi ulimjibu nini!?
  7. syndicate

    DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

    Niendee moja kwa moja kwenye mada husika! Mkoa wa Tabora hivi sasa ninapoandika uzi huu, uko kwenye taharuki kubwa ya kukosa mafuta! Hali ni mbaya hapa mjini, petro station moja tu mji mzima inatoa huduma ya mafuta! Hakuna kiongozi yoyote wa chama (CCM) au serikali ambaye ametoa ufafanuzi...
  8. syndicate

    Kikatiba Rais Samia yuko sahihi kumteua Naibu Waziri Mkuu

    Kwa maelezo yako! Swali je!? Rais anaweza kufuta nafasi ya urais katika JMT...!?? Kama anaweza kwanini na kama awezi kwanini...!??
  9. syndicate

    Kanuni mpya za TFF ni za ovyo kupindukia; wanaendesha mpira kishamba sana!

    Lile suala la kuvaa kilazima LOGO YA GSM naona linataka kurudi kimya kimya!!!
  10. syndicate

    Kanuni mpya za TFF ni za ovyo kupindukia; wanaendesha mpira kishamba sana!

    Tatizo wewe ulipaswa kusema nini inapaswa kuwa suluhisho na sio kulalamika! Suluhisho ulilolileta liko biased kwasababu ubinafsishaji haujawahi kileta faida kwenye nchi hii..!! Najua unalifahamu hilo hakuna haja ya kutoa mifano! Toka nje ya box uwe sehemu ya maendeleo ya michezo ndani ya nchi...
  11. syndicate

    Kanuni mpya za TFF ni za ovyo kupindukia; wanaendesha mpira kishamba sana!

    Na wewe ni mtu wa ovyo pia! Huyo mtu wa nje utakayembinafsishia TFF una uhakika gani kuwa atakuwa analinda maslahi ya wachezaji...!? Hiyo trust experience umeitoa wapi!? Au na wewe umewahi kujibinafsisha kwake na ukapata mslahi ambayo unataka wachezaji wetu wapate!?? Hoja yako ni strong ila...
  12. syndicate

    Wallace Karia ndio Rais wa TFF mwenye mafanikio zaidi katika soka la Tanzania

    Swali zuri sana chief, watu ni wapuuzi sana WANAJISAHAULISHA...!!
  13. syndicate

    Maandalizi ya uzinduzi wa African Football League yaanza rasmi

    Tuutumie vizuri upepo huu...!!
  14. syndicate

    Ushauri; Uandaaji wa matamasha ya michezo (Simba/Yanga n.K) ushirikishe mashabiki

    Hello! Nafikii ifike pahala matamasha haya ya simba na yanga, ili kunoga na kuwa yenye mvuto ndani na nje! KAMATI itanuliwe kwa maana timu hizi zishirikishe maoni na mawazo mazuri maalum kutoka kwa mashabiki wao! Hili linawezekanaje!? Kufungua dirisha maalum la maoni kwenye mitandao yao ya...
Back
Top Bottom