Recent content by Sydney

  1. Sydney

    Haya mapenzi gani sasa?

    kuachwa sio issue siku hizi, mwambie aangalie life yake bhanaaaaa
  2. Sydney

    Kwanini upange sheria nyumbani kwangu?

    Timua wote huyo wifi na shoga yake.. watoto pia .. kwani mbona muda wanaokaa ni mrefu sana? Kwani hawana mahali pa kuishi hawana waume zao au hata michepuko basi. Wakutolee nuksi kwako, hawana lolote hao.
  3. Sydney

    Mnapofanya tendo la ndoa ni vizuri...?

    Popote cha muhimu mioyo yenu imeridhia hakuna kwenye stress.
  4. Sydney

    Sina hamu na mume wangu

    Pole sana ndugu yangu... HAO NDIO WANAUME. Baadhi yao huwa hawatosheki kabisaaaa.. wana tamaa kama fisi na nyama.!
  5. Sydney

    Simu za mikononi ni janga...

    inawezekana pia
  6. Sydney

    Simu za mikononi ni janga...

    simu za mkononi kweli ni majanga maana kuna watu tayari ndoa zimevunjika, wengine wameshapata ugonjwa wa moyo n.k ila nakupa pole sana kwa kukosa raha kisa simu ya mwenzio..!
  7. Sydney

    Simu za mikononi ni janga...

    simu za mkononi kweli ni majanga maana kuna watu tayari ndoa zimevunjika, wengine wameshapata ugonjwa wa moyo n.k ila nakupa pole sana kwa kukosa raha kisa simu ya mwenzio..!
  8. Sydney

    Maumivu yasiyofutika moyoni

    pole sana, nimeipenda story yako, ushauri wangu ni huu: muombe tuu muwe mnakumbushiana maana huo tayari ni kama ugonjwa kwako, akikupigia mwambie tuu kuwa unamuhitaji japo kwa mara moja moja, kama kweli alikupenda atakuelewa, na wewe usigande jumla, wako akirudi jenga maisha. ni hayo tuu.
  9. Sydney

    Twite adaiwa 600,000 za Kodi-agomea mazoezi

    yanga pesa wanazo sema walaji wengi sana...
  10. Sydney

    Movie za love story

    love story unahitaji unaye wa kuangalia naye? au ndo unaangalia peke yako tuu?
  11. Sydney

    babake BANANA ZOLO tusker firm AIBU kwa Tz.............

    mzee wa watu anaweza jamani... tena ana ujuzi na anachosema pale, mwacheni akamue tuu..
  12. Sydney

    Mashabiki Wa Arsenal Wanapochizika

    mtuachie mesut wetu jamani ee~!
  13. Sydney

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Isidingo imepitwa na wakati bana.
  14. Sydney

    Jamani, Kwanini Bibi Harusi analia!

    Analia kwasababu haamini kama kweli siku ndio hiyo imefika, pia analia kwasababu haamini kama mwanaume aliyekuwa ana ahadi kibao kwake kweli zitatimia zote au ilikuwa janja yake tuu? Analia maana kwenu ni kwenu tuu, kwa mume always majanga!
  15. Sydney

    Mwaka wako wa kwanza baada ya kufunga ndoa, ulikuwaje kwako?

    mwaka wa kwanza kwangu ilikuwa ndoa ndoano...binaadamu, ndugu, yaani ni shuguli pevu. alafu bora kama wawili mngeelewana lakini kama mwenzio naye anakuwa anauma na kupuliza ndio balaa linazidi na kuhitimisha ile ndoa ndoano.
Back
Top Bottom