Kwani ni lazima atambulishwe? Mwambie mdogo wako anadeal na mtu asiejitambua na ampotezee, unalazimishaje kutambulishwa?
niunganishe nae huyo mdogo wako.. manake huku kwangu nimekalia kuti kavu muda wowote kuanzia sasa nitaachwa na mimi naogopa kuwa singo kama mdogo wako...
Huyo ni mchumba au boyfriend???
Mchumba si angekuwa ashatambulika kwa familia????
Mwambie mdogo wako asome mapenzi yapo tu
afrodenzi mdogo anajitunza ndo mana jamaa amemwacha coz dogo hajawahi kumpa papuchi
Basi huyo jamaa acheze mbele.
mwambie mdogo wako asifanye kitu ambacho hayuko tayari kufanya
ajili ya kumfurahisha mtu mwingine maana atakuja kujuta baadaye.
duh yamoto mapenz, mapenz ya kitoto
Wanaact La Muja de mi vida
Achana nao
Nikabizi mimi