Em taja wewe kama utaponya mtu hata mmoja au hata mtu kutikisika tu ..., lingekuwa linanguvu basi ingelikuwa ni kwa yeyote atakayelitaja mambo yatokee, but utakuta ni kwa hao wainjilist na wachungaji wa kileo ndo wana hizo mbwembwe, kwa nini mapadre na wasabato hawalitumii kuponya ...? Think big ...