Recent content by Supermind

  1. Supermind

    Taifa letu limekosa maafisa Usalama wa Taifa wenye uzalendo kama alivyokuwa Lyatonga Mrema na wenzake. Ufisadi kama huu sio wa kuvumiliwa

    Wazanlendo na wenye uchungu na hii nchi tupo sana tu. Lakina shida huko juu kuna ndugu, jamaa na watoto wa viongozi, ukikaza unaondoka mwenyewe.
  2. Supermind

    Biashara gani ya haraka nifanye niwe billionea?

    Jifunze mazingaombwe hafu fungua kanisa, kiulaniiii unakuwa milionea tena hata serikali haikugusi ndo kwanza watu wa serkalini watakuwa miongoni wa waumini wako.
  3. Supermind

    Ingia mwaka 2023 na siri ya kutunza siri ili mambo yako yasibume tena

    Mafanikio ni siri. Watu wakijua siri za mipango yako watakutoboa macho usione mafanikio yako kama Samson. Samson alitobolewa macho baada ya kushare siri zake na Delila. Imeandikwa katika Biblia Takatifu kwamba hata mwanamke anayelala kifuani kwako asijue siri zako (Mika 7:5-6). Unaona mambo...
  4. Supermind

    I need a childfree woman for a childfree marriage

    Maelezo umeandika mengi mno wee ungesema tu unahitaji mwanamke "tasa" uowe ungewaona wengi wanakujia huko PM. Sasa sijui childfree huku kwetu wengi hawajui na utahangaika sana kuwapata. Wee andika moja kwa moja unatafuta MWANAMKE ASIEZAA a.k.a TASA wa kuoa.
  5. Supermind

    Majini yanampanda kichwani kila tukiwa katikati ya mizagumuano!

    Kaa chonjo.., utakuja kuliwa tukukose, shauri zako ...
  6. Supermind

    Kaini alipata wapi mke wake?

    Hata kukua ilikua hivohivo, unakuta kitoto kama cha drs. la kwanza kina miaka 400. So hoja yako inakuwa ngumu kumeza ...
  7. Supermind

    Kaini alipata wapi mke wake?

    Daah..! Mbona naona ka inaukweli...!!
  8. Supermind

    Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

    Swali langu ni gumu kidogo. Kama upo hivo naturally, kwa hio mpango wa Mungu ni nini..!? au hakuna Mungu..!? Sasa kwa nini aumbe wanawake na mashoga tena..!? Mbona sielewi...!! Au kumbe naye Mungu anakosea japo tunaambiwa misikitini na makanisani Mungu huwa hakosei ... Sasa hisia za kike kwa...
  9. Supermind

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Anza kuwa unanunua dawa kwake kila siku kama za 10k au 20k halafu unaenda kuziuza sehem tofauti kwa bei hiyohiyo uliyonunulia ili ujenge mazoea nae ...
  10. Supermind

    Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

    Russia tuko pamoja. Zuia new world order, zuia hao mashetani wa magharibi.
  11. Supermind

    Lugha pekee ambayo binadamu anaielewa ni ubabe na kipigo tu

    Uko sahihi brother. Unakuta kuna mtu hapendi kitu fulani ukimuuliza kwa nini anakwambia sikipendi tu. Sasa mtu kama huyo unadhani ataeleweshwaje tofauti na ubabe na kipigo.
  12. Supermind

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Em taja wewe kama utaponya mtu hata mmoja au hata mtu kutikisika tu ..., lingekuwa linanguvu basi ingelikuwa ni kwa yeyote atakayelitaja mambo yatokee, but utakuta ni kwa hao wainjilist na wachungaji wa kileo ndo wana hizo mbwembwe, kwa nini mapadre na wasabato hawalitumii kuponya ...? Think big ...
Back
Top Bottom