Jifunze mazingaombwe hafu fungua kanisa, kiulaniiii unakuwa milionea tena hata serikali haikugusi ndo kwanza watu wa serkalini watakuwa miongoni wa waumini wako.
Mafanikio ni siri. Watu wakijua siri za mipango yako watakutoboa macho usione mafanikio yako kama Samson. Samson alitobolewa macho baada ya kushare siri zake na Delila.
Imeandikwa katika Biblia Takatifu kwamba hata mwanamke anayelala kifuani kwako asijue siri zako (Mika 7:5-6). Unaona mambo...
Maelezo umeandika mengi mno wee ungesema tu unahitaji mwanamke "tasa" uowe ungewaona wengi wanakujia huko PM. Sasa sijui childfree huku kwetu wengi hawajui na utahangaika sana kuwapata. Wee andika moja kwa moja unatafuta MWANAMKE ASIEZAA a.k.a TASA wa kuoa.
Swali langu ni gumu kidogo.
Kama upo hivo naturally, kwa hio mpango wa Mungu ni nini..!? au hakuna Mungu..!? Sasa kwa nini aumbe wanawake na mashoga tena..!? Mbona sielewi...!! Au kumbe naye Mungu anakosea japo tunaambiwa misikitini na makanisani Mungu huwa hakosei ... Sasa hisia za kike kwa...
Anza kuwa unanunua dawa kwake kila siku kama za 10k au 20k halafu unaenda kuziuza sehem tofauti kwa bei hiyohiyo uliyonunulia ili ujenge mazoea nae ...
Uko sahihi brother. Unakuta kuna mtu hapendi kitu fulani ukimuuliza kwa nini anakwambia sikipendi tu.
Sasa mtu kama huyo unadhani ataeleweshwaje tofauti na ubabe na kipigo.
Em taja wewe kama utaponya mtu hata mmoja au hata mtu kutikisika tu ..., lingekuwa linanguvu basi ingelikuwa ni kwa yeyote atakayelitaja mambo yatokee, but utakuta ni kwa hao wainjilist na wachungaji wa kileo ndo wana hizo mbwembwe, kwa nini mapadre na wasabato hawalitumii kuponya ...? Think big ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.