Hao waandishi hovyo sana aina gani ya maswali. Wananauliza walikuwa wanabembeleza hela kwani hakuna mwandishi anayeuliza maswali hivyo. Kama. Ni waandishi kweli tasnia. Ya. Habari imekufa
babu Sambeke hakuwa rubani wa Nyaga walikuwa wanamiliki ndege iliyoanguka last 2 yrs na kuua rubani ikikaribia kutua KIA walikuwa marafiki Nyaga hakuwa na uwezo wa kumwajiri babu ni bilionea mwingine na Nyaga amekufa akidaiwa na babu fedha kiasi kikubwa
Msando kanufaika na ufisadi wa Nyaga kuliko binadamu yeyote hata ndugu wa marehemu wanadai ndiyo aliyechanzo cha Nyaga kujitenga na family hivyo lazima amtetee
rudi jimboni sasa ukae na wapiga kura toka umekuwa mbunge ulikuwa biz na uwaziri , tena sasa nadhani atapata fursa ya kujenga makazi ya uhakika (nyumba) jimboni kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.