Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
inaonyesha jinsi gani hii nchi ina umafia sana..unaua watu kwa sababu jimbo limeangukia kwa upinzani? kwa hiyo yale majimbo ya ccm wapinzani nao waanze kuwachinja wenyeviti wa wilaya wa ccm? aisee huku tunakoelekea ni kubaya...l
America kiongozi wa chama/MBUNGE au wa nchi akitishiwa maisha FBI wanaingilia...UK viongozi wa nchi au wa vyama wakitishiwa maisha scotland yard wanachunguza..hapa bongo viongozi wa vyama wanatishiwa ilitakiwa usalama wa taifa or polisi makao makuu kuchunguza hili swala ila badala yake nasikia eti wameenda polisi huko meru kureport.....IT CAN ONLY HAPPEN IN BONGO :angry:
Huo unafanana kama mwandako wa Justine Nyali! (Just thinking aloud!}