We vita huwezi endelea kubeba box na kula rambirambi za watu.ungekua mzalendo au una uchungu na nchi yako usingeacha upolisi ukakubali kwenda kuishi ulaya aliko "olewa dada ako".
Tuna tofautiana umri mkubwa sana nimemuacha 10yrs but uki tuaangalia kimuonekano wetu utasema kama tunapishana 4yrs vile,
Binti mzuri tu kisura,umbo mpaka tabia,good enough ni kua namfahamu tangu alipo kua mwanafunzi wangu alikua ana behave good class hata nje ya darasa,sijawahi kusikia skendo...
.......Ubishi wa kitoto na wa kishamba kabisa huu,tatizo lenu magamba mna force ukweli uwe uongo,nyekundu kuwa njano imekula kwenu 2015 itabaki kuwa historia tu...
kwa fujo anazo fanyiwa dr slaa huko kigoma na maccm,mtu mwenye akili atagundua kabisa chadema ni watu wa amani siku zote kwa uvumilivu walio uonyesha,kwa namna hata mikutano iliyokua inavugika wakati wa nyuma ni wazi kabisa ccm ndio walikua wana anzisha vurugu hizo.heko makamanda wa kigoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.