Natamani kumuoa tatizo umri.....

Natamani kumuoa tatizo umri.....

Super mandela

Member
Joined
Dec 7, 2013
Posts
22
Reaction score
3
Tuna tofautiana umri mkubwa sana nimemuacha 10yrs but uki tuaangalia kimuonekano wetu utasema kama tunapishana 4yrs vile,

Binti mzuri tu kisura,umbo mpaka tabia,good enough ni kua namfahamu tangu alipo kua mwanafunzi wangu alikua ana behave good class hata nje ya darasa,sijawahi kusikia skendo ya aina yoyote inayo mhusu licha ya kua darasa lao lilikua na wanafunzi walio pinda mnoo.

Wakati huo anasoma sijawahi kumtongoza wala yeye hajawahi kuonyesha sign of love kwangu,tume fall in love baada ya kukutana uraiani.

Ushauri wadau...
 
Umri sio tatizo,vipi msimamo wake katika maisha,tabia zake na vitu vya msingi katika kujenga familia bora?
 
Kwani wewe Bongo movie una matatizo gani na hizo picha? mods mko wapi?
 
Umri sio tatizo,vipi msimamo wake katika maisha,tabia zake na vitu vya msingi katika kujenga familia bora?

...She is good mkuu ni mshauri mzuri tu inshort anafaa kua mke licha ya mapungufu madogo madogo ya kibinadamu.
 
Back to the Mada miaka so kikwazo kabisa na hasa inapokua mwanamme ndiyo kamzidi umri mwanamke. Oa ndugu yangu wakati unazubaa kusubiri majibu jf wenzio watakuzidi kete
 
Age is just a number we kumbatia tu songa mbele kama vigezo vingine umevikubali
 
aisee kazi kweli kweli, sasa kama wewe ni mwanaume unakosea sana kuoa binti wa interval kubwa ya umri. Sababu ni hii na huenda nitatofautiana na watu wengi..sensa ya mwaka 2000 indicatively ilionesha kuwa wanaume wengi wanakufa kwa umri wa 10yrs or more earlier than their spouses kutokana na sababu mbalimbali ikiwepo pia na ustahimilivu wa stress. Sasa mkuu we unaoa mke wa 10yrs less kwa maana ya takwim hizo unaweza muacha akiwa bado anahitaji kuwa na partiner. So inashauriwa kuoa mke ALIYEKUZIDI UMRI angalau miaka 5-10 ili at least ukifariki usimuache mpweke kwa siku nyingi.

Ni maoni yangu tu na hata wewe unaesoma unaweza kuwa shahidi, wajane ni wengi kuliko wagane
 
Kama wewe umemzidi miaka hiyo siyo mbaya ila lazima ujiridhishe kuwa utaweza kumtimizia haja zake ipasavyo la sivyo utakuwa ni mtu wa mawazo
 
Tuna tofautiana umri mkubwa sana nimemuacha 10yrs but uki tuaangalia kimuonekano wetu utasema kama tunapishana 4yrs vile,

Binti mzuri tu kisura,umbo mpaka tabia,good enough ni kua namfahamu tangu alipo kua mwanafunzi wangu alikua ana behave good class hata nje ya darasa,sijawahi kusikia skendo ya aina yoyote inayo mhusu licha ya kua darasa lao lilikua na wanafunzi walio pinda mnoo.

Wakati huo anasoma sijawahi kumtongoza wala yeye hajawahi kuonyesha sign of love kwangu,tume fall in love baada ya kukutana uraiani.

Ushauri wadau...

uyo size yako kabisa maana akina mama wanawahi kuzeeka kabla ya akina baba , kwa iyo uliemzm umr miaka ka kumi hv hadi kumi na tano ndo mnaendana!
 
aisee kazi kweli kweli, sasa kama wewe ni mwanaume unakosea sana kuoa binti wa interval kubwa ya umri. Sababu ni hii na huenda nitatofautiana na watu wengi..sensa ya mwaka 2000 indicatively ilionesha kuwa wanaume wengi wanakufa kwa umri wa 10yrs or more earlier than their spouses kutokana na sababu mbalimbali ikiwepo pia na ustahimilivu wa stress. Sasa mkuu we unaoa mke wa 10yrs less kwa maana ya takwim hizo unaweza muacha akiwa bado anahitaji kuwa na partiner. So inashauriwa kuoa mke ALIYEKUZIDI UMRI angalau miaka 5-10 ili at least ukifariki usimuache mpweke kwa siku nyingi.

Ni maoni yangu tu na hata wewe unaesoma unaweza kuwa shahidi, wajane ni wengi kuliko wagane


Aiseeeeee! Jerrymsigwa hufikirii watoto kubaki YATIMA,
 
Last edited by a moderator:
Tuna tofautiana umri mkubwa sana nimemuacha 10yrs but uki tuaangalia kimuonekano wetu utasema kama tunapishana 4yrs vile,

Binti mzuri tu kisura,umbo mpaka tabia,good enough ni kua namfahamu tangu alipo kua mwanafunzi wangu alikua ana behave good class hata nje ya darasa,sijawahi kusikia skendo ya aina yoyote inayo mhusu licha ya kua darasa lao lilikua na wanafunzi walio pinda mnoo.

Wakati huo anasoma sijawahi kumtongoza wala yeye hajawahi kuonyesha sign of love kwangu,tume fall in love baada ya kukutana uraiani.

Ushauri wadau...

kwani atakuwa anakubeba mgongoni mnapotembea? Yaani mwl unapata shida kwa sababu age difference (10yrs)? hujaona vibabu vinavyooa vijukuu vyao?
 
aisee kazi kweli kweli, sasa kama wewe ni mwanaume unakosea sana kuoa binti wa interval kubwa ya umri. Sababu ni hii na huenda nitatofautiana na watu wengi..sensa ya mwaka 2000 indicatively ilionesha kuwa wanaume wengi wanakufa kwa umri wa 10yrs or more earlier than their spouses kutokana na sababu mbalimbali ikiwepo pia na ustahimilivu wa stress. Sasa mkuu we unaoa mke wa 10yrs less kwa maana ya takwim hizo unaweza muacha akiwa bado anahitaji kuwa na partiner. So inashauriwa kuoa mke ALIYEKUZIDI UMRI angalau miaka 5-10 ili at least ukifariki usimuache mpweke kwa siku nyingi.

Ni maoni yangu tu na hata wewe unaesoma unaweza kuwa shahidi, wajane ni wengi kuliko wagane

Mmmmmh!!! Jerry.. somo halijasomeka!
 
Back
Top Bottom