Noted.....Chris,
Mimi si mnyarwanda bali ni M-Tanzania mzalendo mwenye kupenda kusema ukweli. Hapa namuelewesha ndugu yangu kuwa Pres Kagame ni makini na hawezi thubutu kuivamia Tanzania kirahisi. Kagame ni kiongozi mwenye kuamini katika nidhamu na kuitekeleza. Ameleta mafanikio makubwa sana nchini Rwanda. Sasa kama wewe unaona huu ni upuuzi hiyo ni juu yako. Suala la wewe kurudi jeshini kupigana vita ni jukumu lako kama m-Tanzania na sio hisani kwa nchi yako. Unataka upewe peremende? Ndugu yangu jaribu kutumia kwa manufaa utashi mdogo uliopewa na Mungu na si kubisha na kukebehi kila mtu kila kona bila sababu za msingi.
Sasa sisi mema ya rwanda yanatuhusu nini?
Wewe nadhani ni mnyarwanda ndio maana ubaandika huu upuuzi,
Siku Amiri jeshi mkuu akitangaza vita mimi nitarudi jeshini na nitapigana mstari wa mbele kuwamaliza hao mbu
Sasa sisi mema ya rwanda yanatuhusu nini?
Wewe nadhani ni mnyarwanda ndio maana ubaandika huu upuuzi,
Siku Amiri jeshi mkuu akitangaza vita mimi nitarudi jeshini na nitapigana mstari wa mbele kuwamaliza hao mbu
Jogi mkuu,
Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kutofautiana na Pres Kagame haina maana tumpuuzie au kupindisha yale mema na mazuri anayoyatenda kwa nchi yake na wana-nchi wake. Amefanikiwa katika mambo mengi sana na watu wa Rwanda wanamkubali kwa hilo. We can debate on his methods but the truth of the matter is the guy gets things done in an efficient and effective manner. Watu wa Rwanda wana discipline sasa hivi kwa sababu ya uongozi thabiti wa Baba Kagame. Wengi wanaompinga Kagame either ni wa-Hutu wenye mrengo mkali wanaotawaliwa na ukabila na chuki za visasi e.g. terrorist Victoire Ingabire, Ngeze etc au wa-Tutsi malimbukeni na wenye tamaa ya madaraka wanaomuonea donge Pres Kagame na mafanikio aliyoyaleta katika kipindi kifupi cha utawala wake. Hii inajumuisha na viongozi wasio na shukrani akiwamo Gen. Nyamwasa na wengineo ndani ya Rwanda.
Umeandika vizuri ila sentensi yako ulitakiwa umalizie kwa kuandika nenokagame vs jk =mount everest vs wazo hill kagame ni jembe sio kilaza jk
kagame vs jk =mount everest vs wazo hill kagame ni jembe sio kilaza jk
Jogi mkuu,
Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kutofautiana na Pres Kagame haina maana tumpuuzie au kupindisha yale mema na mazuri anayoyatenda kwa nchi yake na wana-nchi wake. Amefanikiwa katika mambo mengi sana na watu wa Rwanda wanamkubali kwa hilo. We can debate on his methods but the truth of the matter is the guy gets things done in an efficient and effective manner. Watu wa Rwanda wana discipline sasa hivi kwa sababu ya uongozi thabiti wa Baba Kagame. Wengi wanaompinga Kagame either ni wa-Hutu wenye mrengo mkali wanaotawaliwa na ukabila na chuki za visasi e.g. terrorist Victoire Ingabire, Ngeze etc au wa-Tutsi malimbukeni na wenye tamaa ya madaraka wanaomuonea donge Pres Kagame na mafanikio aliyoyaleta katika kipindi kifupi cha utawala wake. Hii inajumuisha na viongozi wasio na shukrani akiwamo Gen. Nyamwasa na wengineo ndani ya Rwanda.
Kuna tetesi zimezagaa hapa Mwanza kuwa Askari wa Rwanda wamefanya shambulizi la kijeshi mpakani na Tanzania. Jee kuna ukweli wowote juu ya hili? Wenye vyanzo vizuri vya habari wafuatilie na kutujuza juu ya jambo hili hatari.
Jogi mkuu,
Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kutofautiana na Pres Kagame haina maana tumpuuzie au kupindisha yale mema na mazuri anayoyatenda kwa nchi yake na wana-nchi wake. Amefanikiwa katika mambo mengi sana na watu wa Rwanda wanamkubali kwa hilo. We can debate on his methods but the truth of the matter is the guy gets things done in an efficient and effective manner. Watu wa Rwanda wana discipline sasa hivi kwa sababu ya uongozi thabiti wa Baba Kagame. Wengi wanaompinga Kagame either ni wa-Hutu wenye mrengo mkali wanaotawaliwa na ukabila na chuki za visasi e.g. terrorist Victoire Ingabire, Ngeze etc au wa-Tutsi malimbukeni na wenye tamaa ya madaraka wanaomuonea donge Pres Kagame na mafanikio aliyoyaleta katika kipindi kifupi cha utawala wake. Hii inajumuisha na viongozi wasio na shukrani akiwamo Gen. Nyamwasa na wengineo ndani ya Rwanda.
Kuna tetesi zimezagaa hapa Mwanza kuwa Askari wa Rwanda wamefanya shambulizi la kijeshi mpakani na Tanzania. Jee kuna ukweli wowote juu ya hili? Wenye vyanzo vizuri vya habari wafuatilie na kutujuza juu ya jambo hili hatari.
Uko wapi umakini wa kagame?
Ukiwa obsessed na siasa unakuwa kama zombie, huwezi kufikiri...
Mleta uzi atuambie tetesi hizo amezitoa wapi ili tumsaidia
the guy is tough aisee
kweli kagame ni tough kwa viwango vya kitusi, kagame aliondoshwa kama mbwa mwizi GOMA na kuishilia akilia na kuomba huruma ya UN eti FARDC imeishambulia RWANDA