Recent content by super chaka

  1. super chaka

    Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

    Usijifanye nyumbu kijana mheshimiwa raisi anahusikaje hapo Sent from my SM-A7000 using JamiiForums mobile app
  2. super chaka

    Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

    Unajua kazi ya askofu ni nini au ndo mwisho wa dunia Hivi hii tanzania wenye vyeki feki ni wangapi na kwan cheti ndo kinafanya kazi wangapi mpaka leo hawajasoma lakini kqzi wanafanya kwa kwenda mbele
  3. super chaka

    Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

    Hawa akina gwajima wakingekuwa ufilipino nahisi tungekuwa tunasema mengine yule raisi sio wa dunia hii mdogo wake hitler ameua watu kama 7000 hivi walioshutumiwa wanafanya biashara ya madawa ya kulevya pamoja na mawakili wanotetea hao watu
  4. super chaka

    Nani mwanzilishi wa shule za kata?

    Huo mpango nenda kasome mkukuta sio lowasa kama mnavyodanganya umma
  5. super chaka

    Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

    Huuu ujinga leteni mada za kujenga jamii sio kujadili watu tufukie mahali tuelekezane namna gani tunatoka sio mara gwajima wala makonda huo ubaraka utaisha lini
  6. super chaka

    Sekta ya michezo inawezekana kukua tukiondoa usimamizi mbovu wa michezo kwa ujumla

    Naanza na suala la bodi yetu ya ligi ambayo imepewa dhamana kubwa na ndo inaongoza kwa kutoa maamuzi yanayochafua nchi yetu 1 . Mwaka jana zimenaswa sauti za upangaji matokeo na kuomba rushwa toka kwa viongozi wa geita gold mpaka leo wamelifunikq tu 2 . Mchezo wa jana baina ya jkt ruvu nq...
  7. super chaka

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Museven mkewe ni waziri wa michezo mbona mpo kimya hamyaoni
  8. super chaka

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Hata ukiponda haisaidii kitu so mnataka wabunge wa kuteuliwe watano kila jinsia mie namuombea tu afanye kazi kwa weledi maana ni mchapa kazi na bado anauwezo wa kulitumikia taifa
  9. super chaka

    Bodi ya ligi na TFF kuna hoja mkajithamini upya

    Poleni na mihangaiko ya hapa na pale Kwanza naanza na hii ratiba mbovu waliyoipangia yanga jumapili acheze morogoro ambapo itakuwa tarehe 5 na jumanne acheze dar tarehe 7 tena kwenye mashindano tofauti na unakuja jumamosi acheze na zenaco timu nguvu tena club bingwa hivi wapanga ratiba mpo...
  10. super chaka

    Kama ni kweli, basi NECTA ni janga

    Hivi turudi kwenye katiba inasemaje kwa wateuliwa na wawakilishi wawe na kiwango gani cha elimu na hapo ndo tutapata ubora wa hoja na kuweza kueleweshana
  11. super chaka

    Mh. Rais ondoa vijana katika system ya uongozi kwenye serikali yako, hawafai kuwa viongozi

    Maendeleo ya taifa lolote yanaletwa na vijana acha kupotosha umma ina maana hata mwalimu aanzie hiyo miaka 40 au wale wawakilishi wa mjengoni nao waanzie 40 ndo taswira yako usitoe mada ambazo hujafanyie utafiti
Back
Top Bottom