Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Radio 5 ni radio ya huyo fisadi mkuu ndiyomaana hao watangazaji wake wamekua mafisadi wa habari kama boss wao na chama chao cha mafisadi.
ligera
Watakuja kukuthibitishia tu kuwa wao ndio walioasisi mkakati hyo
Uzuri wenyewe wana data
Kimewauma mpaka mnakata mawasiliano kabisa?
Hiyo ni radio yake unategemea watasema nini kama si kumsifia boss wao.
Mimi wakati niko shuke ya msingi mwaka 1996 nilibeba mchanga wa kujenga shule ya kata. Huko kijijini kwetu
mmmh! Daudi kumbe!Radio 5 ni radio ya huyo fisadi mkuu ndiyomaana hao watangazaji wake wamekua mafisadi wa habari kama boss wao na chama chao cha mafisadi.