Hukusoma vizuri mwenendo wa biashara yako. ulitakiwa ubadilishe mapema biashara au kuongeza huduma nyingine mfano kutoka kuuza simu na vifaa vyake na utoe huduma za kifedha kupitia simu, uza vocha au utengeneze simu hata kwa kumlipa fundi akae hapo. Inafika wakati kila mmoja anamiliki simu...
Waziri ni mwakilishi wa Rais, nina imani sheria inamruhusu kulingana na hasara inayoweza kusababishwa na mtuhumiwa kwa kuruhusu kufuatwa taratibu huku akiendelea kuwepo kazini.
Ili mbegu iote lazima ioze kwanza. Hivo hivo Ili upate maisha mazuri lazima upitie magumu. Nchi ambazo kwa sasa tunasema zimeendelea zilipitia hali tunayopitia hivi sasa. Katika kutafuta kipi cha kufanya watu waliamua kutumia elimu yao vizuri kwa kuangalia fursa zinazowazunguka. Mwanzo so...
Biashara yeyote inaambatana na bahati pia. Ni asilimia chache sana kwenye biashara hii wanaweza kusimama na kusema walipata faida zaidi ya hasara na kujutia pesa yao hasa wale wanaotumia wafanyakazi wa kuajiriwa.
Una bahati sana na ninafikiri huyo mfanyakazi ni ndugu yako au mtu wako wa karibu pia mcha Mungu. Kwa mtaji huo mkubwa kiasi hicho wala isingekuchukua zaidi ya miezi mitatu kabla ya kufunga biashara.
Inawezekana hamkulala kitandani lakini mliupiga usingizi mara moja moja mfano uwanjani, jikoni n.k. Kuna jamaa mmoja ilipita siku mbili bila kulala alikuwa safarini basi ile amefika akapewa kiti akae. Haikupita dakika tano jamaa alianguka chini kama vile kapigwa na radi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.