Recent content by Sunkist

  1. S

    Computer4Sale MacBook Pro (14-inch, 2021)

    Ndio bado haijapata mtu
  2. S

    Msaada nataka kununua Suzuki Swift

    kitu cha maana ni kwanza vipuli vinapatikana---Ugumu wa upatikanaji ni kitu kingine. Hiyo ni spear za gari, ---FIKIRIA SPEAR ZA BINADAMU KAMA FIGO ETC ZINAPATINA PIA!!!!
  3. S

    Computer4Sale MacBook Pro (14-inch, 2021)

    Mazungumzo ya bei yapo-- Toa offer!!
  4. S

    Computer4Sale MacBook Pro (14-inch, 2021)

    Anae hitaji MacBook Pro-- Chip M1 Pro, Memory 16GB, Storage 512GB. Mwasiliano 0717678225. Tsh.5million tu.
  5. S

    Msaada: Nimewapa ujauzito wanawake wawili, nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili

    Unachekesha sana!! HIYO DINI IMERUHUSU KUZINI NA WANAWAKE? JIBU KWANZA HILI, NDIO TUKUPE MSAADA!!!
  6. S

    Car4Sale Nauza gari Raum

    BEI NI KUBWA
  7. S

    Mwafrika ameshindikana, angalia picha hii

    Wewe ulitaka wafanyeje, kama uchumi hauruhusu ya kizungu!!
  8. S

    Nahitaji mume hata nikiwa mke wa pili sawa tu

    Nimeipenda hii— ila umesahau kipengele cha ucha mungu, kila la kheri. Kama mcha mungu tuwasiliane
  9. S

    Hivi aliyeruhusu wanafunzi wa sekondari kuvaa hijabu alijua madhara yake?

    "Inaondoa uniformity of student" mana lake nini????? kwamba wakivaa hijabu ndio hiyo uniformity inaondoka?? Hijabu ni vazi la stara. Basi wasivae nguo kabisa ili uniformity ipatikane vizur!!!!!!!!!!
  10. S

    Mbeya: Aliyeoa Yatima Mlemavu Gumzo, Wanavyoishi Utashangaa

    Hujafa hujaumbika---hata wewe unaweza kuwa mlemavu, tena zaidi ya yeye. Mwenyezi mungu aendelee kuwapa maisha ya furaha siku zote!!
  11. S

    Wenye kuchezea watoto wa watu,dawa yenu ipo jikoni

    Kumbuka hilo ni deni--na wewe wa kwako watachezewa hivyo hivyo
  12. S

    Kiwanja chenye msingi kinauzwa 6.5m

    M 3 unachukua?
  13. S

    Nimekutana na bikra kwa mara ya kwanza, simuachi

    Unajigamba, brother, lakini ujue kwamba zinaa ni deni!!Ukimzini moto wa mwenzako, na wakwako ataziniwa, tena kwa kudhalilishwa zaidi, maana ni deni linalipwa na interest.Kama deni halitalipiwa kwa mwanao, basi wa ndugu yako, au dada yako--lakini lazima lilipwe tu!!!
Back
Top Bottom