kitu cha maana ni kwanza vipuli vinapatikana---Ugumu wa upatikanaji ni kitu kingine. Hiyo ni spear za gari, ---FIKIRIA SPEAR ZA BINADAMU KAMA FIGO ETC ZINAPATINA PIA!!!!
"Inaondoa uniformity of student" mana lake nini????? kwamba wakivaa hijabu ndio hiyo uniformity inaondoka?? Hijabu ni vazi la stara. Basi wasivae nguo kabisa ili uniformity ipatikane vizur!!!!!!!!!!
Unajigamba, brother, lakini ujue kwamba zinaa ni deni!!Ukimzini moto wa mwenzako, na wakwako ataziniwa, tena kwa kudhalilishwa zaidi, maana ni deni linalipwa na interest.Kama deni halitalipiwa kwa mwanao, basi wa ndugu yako, au dada yako--lakini lazima lilipwe tu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.